Pinda aipa changamoto sekta ya afya
Wadau wa Sekta ya Afya nchini wametakiwa kushirikiana na Serikali kuangalia namna ya kupunguza uhaba wa wataalamu wa afya ikiwamo madaktari na wauguzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo23 Feb
Pinda aipa changamoto Jumuiya ya wazazi
SIKU moja baada ya kutangazwa kwa matokeo ya mitihani ya Kidato cha Nne, Jumuiya ya Wazazi ya CCM imetakiwa kuhakikisha shule yao inakuwa moja ya shule 10 kitaifa, wakati ikijivunia kuwa na shule nyingi. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ambaye ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ametoa changamoto hiyo jana mjini hapa.
11 years ago
Michuzi24 Apr
UZINDUZI WIKI YA CHANJO YAIBUA CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI SEKTA YA AFYA MAKETE
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Pinda ataka sekta binafsi kuwekeza masuala ya afya
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewataka wataalamu wa afya kuangalia namna Sekta binafsi zinaweza kuwekeza katika masuala ya afya ili kuisaidia serikali katika kusimamia na kuendesha shughuli za utoaji huduma ambazo...
10 years ago
Dewji Blog15 Nov
Sekta binafsi ihusishwe kutoa huduma za afya — Pinda
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano mkuu wa mwaka wa Afya (Annual Health Summit ) kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam Novemba 14, 2014. (Picha na Ofisi ya Wazri Mkuu).
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ipanue wigo wa utoaji huduma za msingi kwa kuishirikisha zaidi sekta binafsi nchini.
“Ninawasihi Waziri wa Afya na Naibu wake kwa vile ni wapya bado wabadili mtizamo wa wizara hii kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5iDjKD_ecs8/VIgx1gWRV8I/AAAAAAACwMw/Y7X8ISdv77M/s72-c/unnamed.jpg)
Wadau wa Sekta ya Afya kutoka Tanzania Washiriki Maonyesho ya Sekta ya Afya jijini Istanbul -Uturuki. Dec 2014.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Mbunge Mnyika aipa changamoto Alat
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Chiza aipa changamoto Bodi Rubada
WAJUMBE wa Bodi mpya ya Mamlaka ya Uendelezaji wa Bonde la Mto Rufiji (Rubada) wametakiwa kutimiza malengo yote waliyojiwekea katika kipindi chao cha miaka mitatu kwa kuongeza ufanisi zaidi wa...
10 years ago
Habarileo25 Oct
Migiro aipa changamoto taasisi ya wanasheria
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Asha-Rose Migiro ameitaka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo, kuhakikisha inatoa mafunzo kwa wanasheria katika eneo la mikataba ya kimataifa hususan katika mikataba ya rasilimali za nchi.