Mbunge Mnyika aipa changamoto Alat
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika amekosoa madai ya Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (Alat) kwamba Tume ya Mabadiliko ya Katiba haikuingiza maoni yake katika Rasimu ya Katiba Mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Apr
Mnyika aipa angalizo serikali kuhusu ajali.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Myika-16April2015.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania Bara, John Mnyika, ameitaka serikali kulichukulia kwa uzito tatizo la kukithiri kwa ajali za barabarani, kama ambavyo taifa linavyotumia nguvu kubwa kukabiliana na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) yaliyofumka kwa kasi kubwa nchini.
Mnyika alisema takwimu za kiwango cha ajali zilizotokea ndani ya siku 102...
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Chiza aipa changamoto Bodi Rubada
WAJUMBE wa Bodi mpya ya Mamlaka ya Uendelezaji wa Bonde la Mto Rufiji (Rubada) wametakiwa kutimiza malengo yote waliyojiwekea katika kipindi chao cha miaka mitatu kwa kuongeza ufanisi zaidi wa...
10 years ago
Habarileo25 Oct
Migiro aipa changamoto taasisi ya wanasheria
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Asha-Rose Migiro ameitaka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo, kuhakikisha inatoa mafunzo kwa wanasheria katika eneo la mikataba ya kimataifa hususan katika mikataba ya rasilimali za nchi.
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Pinda aipa changamoto sekta ya afya
11 years ago
Habarileo23 Feb
Pinda aipa changamoto Jumuiya ya wazazi
SIKU moja baada ya kutangazwa kwa matokeo ya mitihani ya Kidato cha Nne, Jumuiya ya Wazazi ya CCM imetakiwa kuhakikisha shule yao inakuwa moja ya shule 10 kitaifa, wakati ikijivunia kuwa na shule nyingi. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ambaye ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ametoa changamoto hiyo jana mjini hapa.
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Balozi Adadi Rajabu aipa changamoto bandari Dar
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Mbunge Mnyika ataka kusitishwa kwa uwindaji
10 years ago
Mwananchi25 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: John Mnyika
10 years ago
Vijimambo01 Jul
Kuna mgomo wa kuuza mafuta Tanzania? Mbunge John Mnyika kairudisha hii tena Bungeni.. (Audio)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_1259.jpg?resize=544%2C408)