Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi Adadi Rajabu aipa changamoto bandari Dar

Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Adadi Rajabu ameishauri Bandari ya Dar es Salaam kuongeza kasi ya kushusha mizigo ya wafanyabiashara wa Zimbabwe ili kuimarisha uhusiano wa kiuchumi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Uongozi mzuri siri ya maendeleo Muheza - Adadi Rajabu

Na Mwandishi wetu, Muheza  Ushirikishwaji wa wananchi na uongozi mzuri ni nyenzo muhimu za kuleta maendeleo katika wilaya ya Muheza, mkoani Tanga.  Akihutubia wananchi waliojitokeza kumuunga mkono mwishoni mwa wiki wilayani Muheza, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Adadi Rajabu alisema maendeleo duni katika wilaya hiyo yametokana na uongozi mbaya. Alikua akichukua fomu za kugombea ubunge jimbo la Muheza kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).  “Muda wa mabadiliko umefika,” alisema...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi adadi amtembelea balozi mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga

 Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe Mhe Adadi Rajabu akiwa na  Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga, Jumeirah, Dubai, leo Mhe Adadi yuko Dubai kwa ziara ya kikazi

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Rajabu Hassan Gamaha ateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Burundi.

Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemteua Balozi Rajabu Hassan Gamaha kuwa Balozi wa Tanzania nchini Burundi.


 Balozi Gamaha anachukua nafasi ya Balozi Dkt. Mwasi Nzagi ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Kabla ya uteuzi huo Balozi Gamaha alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Uteuzi huo unaanza mara moja.
Imetolewa na:

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,

Dar es Salaam


27 Aprili 2015

 

10 years ago

Vijimambo

MEH. JAKAYA KIKWETE AMTEUA BALOZI RAJABU HASSAN GAMALIA KUWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

 



Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600              
                20 KIVUKONI FRONT,                           P.O. BOX 9000,                  11466 DAR ES SALAAM,                                      Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

9 years ago

Michuzi

NITAHAMASISHA UWEKEZAJI ZAIDI MUHEZA-BALOZI ADADI

Na Mwandishi Wetu, Muheza Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapiduzi (CCM), katika jimbo la Muheza mkoani Tanga, Balozi Adadi Rajabu (Kulia akipokea fomu), amesema atapigana kufa na kupona kuingiza wawekezaji wilayani humo katika nyanja ya kilimo na utalii.
Akizungumza baada ya kunadiwa na mgombea urais wa CCM, John Pombe Magufuli, Adadi amesema mjini hapa jana kwamba ataelekeza nguvu kubwa katika kuvutia wawekezaji ili kuiinua Muheza kiuchumi.
Magufuli, aliyemnadi Adadi kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Pinda aipa changamoto Jumuiya ya wazazi

SIKU moja baada ya kutangazwa kwa matokeo ya mitihani ya Kidato cha Nne, Jumuiya ya Wazazi ya CCM imetakiwa kuhakikisha shule yao inakuwa moja ya shule 10 kitaifa, wakati ikijivunia kuwa na shule nyingi. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ambaye ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ametoa changamoto hiyo jana mjini hapa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge Mnyika aipa changamoto Alat

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika amekosoa madai ya Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (Alat) kwamba Tume ya Mabadiliko ya Katiba haikuingiza maoni yake katika Rasimu ya Katiba Mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda aipa changamoto sekta ya afya

Wadau wa Sekta ya Afya nchini wametakiwa kushirikiana na Serikali kuangalia namna ya kupunguza uhaba wa wataalamu wa afya ikiwamo madaktari na wauguzi.

 

10 years ago

Habarileo

Migiro aipa changamoto taasisi ya wanasheria

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Asha-Rose Migiro ameitaka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo, kuhakikisha inatoa mafunzo kwa wanasheria katika eneo la mikataba ya kimataifa hususan katika mikataba ya rasilimali za nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani