Balozi Adadi Rajabu aipa changamoto bandari Dar
Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Adadi Rajabu ameishauri Bandari ya Dar es Salaam kuongeza kasi ya kushusha mizigo ya wafanyabiashara wa Zimbabwe ili kuimarisha uhusiano wa kiuchumi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WZNS_52TY2c/VatE7A0SVJI/AAAAAAAHqcY/8bW40XTmB30/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
Uongozi mzuri siri ya maendeleo Muheza - Adadi Rajabu
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NnUBy-NgMNE/U9f0yk3ppEI/AAAAAAAF7sI/Rvkjb4nXufY/s72-c/unnamed+(30).jpg)
Balozi adadi amtembelea balozi mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga
![](http://4.bp.blogspot.com/-NnUBy-NgMNE/U9f0yk3ppEI/AAAAAAAF7sI/Rvkjb4nXufY/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0NyNayzgPmE/U9f0yr9BfcI/AAAAAAAF7sE/FS6MmdaVyOk/s1600/unnamed+(31).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZbZaTexdaRo/VT6Uijd1IUI/AAAAAAAHTs0/7BIkAx09Tko/s72-c/download.jpg)
Balozi Rajabu Hassan Gamaha ateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Burundi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZbZaTexdaRo/VT6Uijd1IUI/AAAAAAAHTs0/7BIkAx09Tko/s1600/download.jpg)
Balozi Gamaha anachukua nafasi ya Balozi Dkt. Mwasi Nzagi ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Kabla ya uteuzi huo Balozi Gamaha alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Uteuzi huo unaanza mara moja.
Imetolewa na:Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dar es Salaam
27 Aprili 2015
10 years ago
Vijimambo27 Apr
MEH. JAKAYA KIKWETE AMTEUA BALOZI RAJABU HASSAN GAMALIA KUWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/56/COA_Tanganyika_1.jpg/118px-COA_Tanganyika_1.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fBcR1McEShM/VfF7L3A0OWI/AAAAAAAH304/GG30J60o9z0/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
NITAHAMASISHA UWEKEZAJI ZAIDI MUHEZA-BALOZI ADADI
![](http://1.bp.blogspot.com/-fBcR1McEShM/VfF7L3A0OWI/AAAAAAAH304/GG30J60o9z0/s320/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
Akizungumza baada ya kunadiwa na mgombea urais wa CCM, John Pombe Magufuli, Adadi amesema mjini hapa jana kwamba ataelekeza nguvu kubwa katika kuvutia wawekezaji ili kuiinua Muheza kiuchumi.
Magufuli, aliyemnadi Adadi kwa...
11 years ago
Habarileo23 Feb
Pinda aipa changamoto Jumuiya ya wazazi
SIKU moja baada ya kutangazwa kwa matokeo ya mitihani ya Kidato cha Nne, Jumuiya ya Wazazi ya CCM imetakiwa kuhakikisha shule yao inakuwa moja ya shule 10 kitaifa, wakati ikijivunia kuwa na shule nyingi. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ambaye ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ametoa changamoto hiyo jana mjini hapa.
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Mbunge Mnyika aipa changamoto Alat
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Pinda aipa changamoto sekta ya afya
10 years ago
Habarileo25 Oct
Migiro aipa changamoto taasisi ya wanasheria
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Asha-Rose Migiro ameitaka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo, kuhakikisha inatoa mafunzo kwa wanasheria katika eneo la mikataba ya kimataifa hususan katika mikataba ya rasilimali za nchi.