Uongozi mzuri siri ya maendeleo Muheza - Adadi Rajabu
![](http://4.bp.blogspot.com/-WZNS_52TY2c/VatE7A0SVJI/AAAAAAAHqcY/8bW40XTmB30/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
Na Mwandishi wetu, Muheza Ushirikishwaji wa wananchi na uongozi mzuri ni nyenzo muhimu za kuleta maendeleo katika wilaya ya Muheza, mkoani Tanga. Akihutubia wananchi waliojitokeza kumuunga mkono mwishoni mwa wiki wilayani Muheza, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Adadi Rajabu alisema maendeleo duni katika wilaya hiyo yametokana na uongozi mbaya. Alikua akichukua fomu za kugombea ubunge jimbo la Muheza kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). “Muda wa mabadiliko umefika,” alisema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Balozi Adadi Rajabu aipa changamoto bandari Dar
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fBcR1McEShM/VfF7L3A0OWI/AAAAAAAH304/GG30J60o9z0/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
NITAHAMASISHA UWEKEZAJI ZAIDI MUHEZA-BALOZI ADADI
![](http://1.bp.blogspot.com/-fBcR1McEShM/VfF7L3A0OWI/AAAAAAAH304/GG30J60o9z0/s320/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
Akizungumza baada ya kunadiwa na mgombea urais wa CCM, John Pombe Magufuli, Adadi amesema mjini hapa jana kwamba ataelekeza nguvu kubwa katika kuvutia wawekezaji ili kuiinua Muheza kiuchumi.
Magufuli, aliyemnadi Adadi kwa...
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Uongozi wa StarTimes waishukuru Serikali kwa ushirikiano mzuri inaowapa
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akimkaribisha ofisini kwake Makamu wa Rais wa Kampuni ya Star Times Tanzania Bi. Zuhura Hanif leo jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akielezea jambo wakati wa mazungumzo baina yake na uongozi wa Star Times waliomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. LEO...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-0IYF2YDI9c8/VB0owTa80hI/AAAAAAAGkuk/wz_lqbi1kuA/s1600/0L7C1657.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA HAFLA YA KUMPONGEZA KWA UONGOZI MZURI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0IYF2YDI9c8/VB0owTa80hI/AAAAAAAGkuk/wz_lqbi1kuA/s72-c/0L7C1657.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA HAFLA YA KUMPONGEZA KWA UONGOZI MZURI YA USIKU WA JAKAYA JIJINI WASHINGTON DC
![](http://3.bp.blogspot.com/-0IYF2YDI9c8/VB0owTa80hI/AAAAAAAGkuk/wz_lqbi1kuA/s1600/0L7C1657.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-p82ivnl_BuY/VB0owdIIEmI/AAAAAAAGkuo/zEPPIFx8jxY/s1600/0L7C1714.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Siri ya maendeleo ni kuwekeza kwenye ujuzi
10 years ago
Habarileo20 Mar
Mkapa awapa viongozi Afrika siri ya maendeleo
VIONGOZI wa Afrika wametakiwa kubuni mikakati itakayowawezesha wananchi wote kushiriki katika shughuli za kimaendeleo.
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Mwalimu Nyerere na siri ya maendeleo ya Kiswahili nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TrJPtFXusHo/Xn0PMs7QJAI/AAAAAAALlQQ/xUpa4yi6yRshKNc2Mm9FA88wsWkfINj9gCLcBGAsYHQ/s72-c/101425d5-6950-4eb6-85e1-64a1c06a1dce.jpg)
UONGOZI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII WAKUTANA NA BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO KUJADILI FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO.
Fedha hizo sasa zitapelekwa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro kutekeleza shughuli zilezile...