Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwalimu Nyerere na siri ya maendeleo ya Kiswahili nchini

Katika Afrika ya Mashariki, tangu enzi za ukoloni mpaka sasa, Kiswahili kinaonekana kutamalaki zaidi Tanzania kuliko nchi nyingine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MTEMVU; ALIFICHUA SIRI ZA MWALIMU NYERERE-8

Zuberi Mtemvu baada ya kuachana na Tanu alianza kuongoza African Congress na alikuwepo mtu anaitwa Mashado ambaye alikuwa akiongoza chama cha siasa chenye mrengo wa Kiislamu kiitwacho All Muslim National Union (AMNUT).  Hapa ningependa kueleza kuwa katika wanachama wa mwanzo katika Tanu alikuwa mzee Said Chamwenyewe. Huyu alikuwa mwanachama shupavu wa Tanu na alikuwa karibu sana na Mtemvu na Mwalimu Nyerere. Mtemvu alipohama...

 

10 years ago

Michuzi

msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo

Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.Email yangu ni linda.johansson5@kungsbacka.se
Kwa mawasiliano nitumie email.

 

11 years ago

Habarileo

Gabon waomba mwalimu kuwafundisha Kiswahili

SERIKALI ya Gabon kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imeomba kupatiwa Mhadhiri wa kufundisha Kiswahili katika Vyuo vya Elimu ya Juu nchini Gabon.

 

10 years ago

Mwananchi

Mzee Mwinyi ni mwalimu ‘darasa maalumu la Kiswahili’

Lugha ya Kiswahili ni tunu iliyositirika kwetu, haina budi kuenziwa. Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, ni mfano mzuri na wa kuigwa katika kukienzi Kiswahili.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwalimu Nyerere hatotoweka

KADI yangu ya chama cha TANU Na.C.875903 ya 20.04.1971, tawi la Bank-NBC- Dar es Salaam, na pia kumbukumbu yangu ya kuwa mwanachama wa kikundi cha ‘Tanu Youth League’ tokea 1968...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunakukumbuka Mwalimu Nyerere

LEO Tanzania inaadhimisha miaka 15 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliyefarikidi dunia 14/10/1999 nchini Uingereza. Kwa namna ya pekee tunawatakia Watanzania wote maazimisho mema, lakini kubwa kuliko...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere

Tanzania inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu kufariki kwa mwasisi wa taifa hilo marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani