Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTEMVU; ALIFICHUA SIRI ZA MWALIMU NYERERE-8

Zuberi Mtemvu baada ya kuachana na Tanu alianza kuongoza African Congress na alikuwepo mtu anaitwa Mashado ambaye alikuwa akiongoza chama cha siasa chenye mrengo wa Kiislamu kiitwacho All Muslim National Union (AMNUT).  Hapa ningependa kueleza kuwa katika wanachama wa mwanzo katika Tanu alikuwa mzee Said Chamwenyewe. Huyu alikuwa mwanachama shupavu wa Tanu na alikuwa karibu sana na Mtemvu na Mwalimu Nyerere. Mtemvu alipohama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mwalimu Nyerere na siri ya maendeleo ya Kiswahili nchini

Katika Afrika ya Mashariki, tangu enzi za ukoloni mpaka sasa, Kiswahili kinaonekana kutamalaki zaidi Tanzania kuliko nchi nyingine.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwalimu Nyerere hatotoweka

KADI yangu ya chama cha TANU Na.C.875903 ya 20.04.1971, tawi la Bank-NBC- Dar es Salaam, na pia kumbukumbu yangu ya kuwa mwanachama wa kikundi cha ‘Tanu Youth League’ tokea 1968...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere

Tanzania inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu kufariki kwa mwasisi wa taifa hilo marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunakukumbuka Mwalimu Nyerere

LEO Tanzania inaadhimisha miaka 15 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliyefarikidi dunia 14/10/1999 nchini Uingereza. Kwa namna ya pekee tunawatakia Watanzania wote maazimisho mema, lakini kubwa kuliko...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere ni leo

Tanzania leo inaadhimisha miaka 15 tangu kufariki kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 

11 years ago

Habarileo

Waliomtusi Mwalimu Nyerere watubu

WABUNGE wanaodaiwa kumkashifu Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere wakati wa Bunge Maalumu la Katiba, wamempigia simu Mama Maria Nyerere kumuomba msamaha, kutokana na maneno ya kashfa ndani ya bunge hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani