Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gabon waomba mwalimu kuwafundisha Kiswahili

SERIKALI ya Gabon kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imeomba kupatiwa Mhadhiri wa kufundisha Kiswahili katika Vyuo vya Elimu ya Juu nchini Gabon.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo

Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.Email yangu ni linda.johansson5@kungsbacka.se
Kwa mawasiliano nitumie email.

 

10 years ago

Mwananchi

Mzee Mwinyi ni mwalimu ‘darasa maalumu la Kiswahili’

Lugha ya Kiswahili ni tunu iliyositirika kwetu, haina budi kuenziwa. Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, ni mfano mzuri na wa kuigwa katika kukienzi Kiswahili.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwalimu Nyerere na siri ya maendeleo ya Kiswahili nchini

Katika Afrika ya Mashariki, tangu enzi za ukoloni mpaka sasa, Kiswahili kinaonekana kutamalaki zaidi Tanzania kuliko nchi nyingine.

 

9 years ago

Bongo5

Jay Moe mwalimu aliyenifundisha kurap Kiswahili ni Solo Thang

Rapper wa siku nyingi hapa bongo Jay Moe ambaye anaunda kundi la Wateule hivi karibu alipo kuwa akipiga story na eatv amemshukuru sana swahiba wake Solo Thang kwani ni watu wenye mchango mkubwa kwake alimbadilisha kipindi hicho cha nyuma katika upende wa kuandika mashairi kwa Kiswahili. Jay Moe ansema “solo Thang ni mtu ambaye nilikuwa […]

 

10 years ago

Michuzi

kutana na kijana Amosi Peter Rwangarya, mwalimu wa kiswahili Serbia

 Kijana Amosi Peter Rwangarya ambaye ni mtanzania mwanafunzi nchini Serbia akiwa anawakaribisha wanafunzi wa Kiserbia (Ulaya Mashariki) kujifunza Kiswahili kwenye ukumbi wa African Museum jijini Belgrade (Serbia).Amosi Peter Rwangarya(kulia) na Galina Tudyk (kushoto) ambaye ni Mserbia aliye wahi kukaa East Afrika kama Kenya na Tanzania na anaongea kiswahili na ni mwalimu wa lugha mbalimbali haswa kiingereza na Kiserbia na hapo mbele ni wanafunzi wanaojifunza kiswahili nchini humo.
Amosi Peter...

 

9 years ago

Michuzi

Walimu waaswa kuwa wazalendo kuwafundisha wanafunzi nchini

Afisa Elimu Vifaa na Takwimu Halmashauri ya Kibaha Vijijini Doris Semkiwa ambaye anamwakilisha Afisa Elimu wa Halmashauri ya Kibaha Vijijini akitoa mada kwa Washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Walimu na Wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji kwa shule za sekondari (STEP) wakifuatilia mafunzo hayo katika kituo cha Shule ya sekondari Kilangalanga iliyopo wilayani Kibaha Vijijini mkoani Pwani.Washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Walimu na Wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji...

 

5 years ago

Michuzi

WALIMU MKOANI TABORA WATAKIWA KUWAFUNDISHA WANAFUNZI UMUHIMU WA UZALENDO

Kaimu Mkuu wa Kanda ya Magharibi, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Gerald Mwaitebele akitoa ufafanuzi leo wakati mafunzo na maelekezo kuhusiana na uendeshaji wa klabu za maadili kwa walimu wa shule za msingi ,sekondari na vyuo
Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Msalika Makungu akifungua leo mafunzo na maelekezo kuhusiana na uendeshaji wa klabu za maadili kwa walimu wa shule za msingi ,sekondari na vyuo
Baadhi ya walimu wa Shule za Msingi katika Manispaa ya Tabora...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani