Gabon waomba mwalimu kuwafundisha Kiswahili
SERIKALI ya Gabon kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imeomba kupatiwa Mhadhiri wa kufundisha Kiswahili katika Vyuo vya Elimu ya Juu nchini Gabon.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi12 Apr
msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo
Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.Email yangu ni linda.johansson5@kungsbacka.se
Kwa mawasiliano nitumie email.
Kwa mawasiliano nitumie email.
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Mzee Mwinyi ni mwalimu ‘darasa maalumu la Kiswahili’
Lugha ya Kiswahili ni tunu iliyositirika kwetu, haina budi kuenziwa. Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, ni mfano mzuri na wa kuigwa katika kukienzi Kiswahili.
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Mwalimu Nyerere na siri ya maendeleo ya Kiswahili nchini
Katika Afrika ya Mashariki, tangu enzi za ukoloni mpaka sasa, Kiswahili kinaonekana kutamalaki zaidi Tanzania kuliko nchi nyingine.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yPbId87ZUCk/default.jpg)
9 years ago
Bongo501 Sep
Jay Moe mwalimu aliyenifundisha kurap Kiswahili ni Solo Thang
Rapper wa siku nyingi hapa bongo Jay Moe ambaye anaunda kundi la Wateule hivi karibu alipo kuwa akipiga story na eatv amemshukuru sana swahiba wake Solo Thang kwani ni watu wenye mchango mkubwa kwake alimbadilisha kipindi hicho cha nyuma katika upende wa kuandika mashairi kwa Kiswahili. Jay Moe ansema “solo Thang ni mtu ambaye nilikuwa […]
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kTDnDCW3WyA/VSo4SwzWn8I/AAAAAAAHQhM/LrGup9mU-wA/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
kutana na kijana Amosi Peter Rwangarya, mwalimu wa kiswahili Serbia
![](http://4.bp.blogspot.com/-kTDnDCW3WyA/VSo4SwzWn8I/AAAAAAAHQhM/LrGup9mU-wA/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LlzQemw9J4Y/VSo4T_u3aAI/AAAAAAAHQhU/7r17sc1wq50/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
Amosi Peter...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9Pkqfk6AsDw/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G6b7Baiu2Iw/Vnjrbz4O3BI/AAAAAAAINyQ/hH84fnIEP9s/s72-c/01.jpg)
Walimu waaswa kuwa wazalendo kuwafundisha wanafunzi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-G6b7Baiu2Iw/Vnjrbz4O3BI/AAAAAAAINyQ/hH84fnIEP9s/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LHIrtOMzwfA/Vnjrc55awAI/AAAAAAAINyo/b8I3lVdF8aI/s640/04.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JfmtHWS-3XI/XlDqY5WiPII/AAAAAAALey8/NA4SZZGkgrM_aGdVDS3iyiAul9e_OJSiQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-39-1024x768.jpg)
WALIMU MKOANI TABORA WATAKIWA KUWAFUNDISHA WANAFUNZI UMUHIMU WA UZALENDO
![](https://1.bp.blogspot.com/-JfmtHWS-3XI/XlDqY5WiPII/AAAAAAALey8/NA4SZZGkgrM_aGdVDS3iyiAul9e_OJSiQCLcBGAsYHQ/s640/2-39-1024x768.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-38-1024x768.jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Msalika Makungu akifungua leo mafunzo na maelekezo kuhusiana na uendeshaji wa klabu za maadili kwa walimu wa shule za msingi ,sekondari na vyuo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-30-1024x768.jpg)
Baadhi ya walimu wa Shule za Msingi katika Manispaa ya Tabora...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania