Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kutana na kijana Amosi Peter Rwangarya, mwalimu wa kiswahili Serbia

 Kijana Amosi Peter Rwangarya ambaye ni mtanzania mwanafunzi nchini Serbia akiwa anawakaribisha wanafunzi wa Kiserbia (Ulaya Mashariki) kujifunza Kiswahili kwenye ukumbi wa African Museum jijini Belgrade (Serbia).Amosi Peter Rwangarya(kulia) na Galina Tudyk (kushoto) ambaye ni Mserbia aliye wahi kukaa East Afrika kama Kenya na Tanzania na anaongea kiswahili na ni mwalimu wa lugha mbalimbali haswa kiingereza na Kiserbia na hapo mbele ni wanafunzi wanaojifunza kiswahili nchini humo.
Amosi Peter...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo

Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.Email yangu ni linda.johansson5@kungsbacka.se
Kwa mawasiliano nitumie email.

 

10 years ago

Mwananchi

Kutana na kijana mwenye ndoto ya kuunda chopa

Ubunifu ni kufanya jambo kwa namna tofauti na jinsi lilivyozoeleka, hivyo mtu akifanya jambo hilo linalofanana na uundaji wa kitu kinacholeta maana, mtu huyo ataitwa mbunifu.

 

11 years ago

GPL

KUTANA NA DOREEN PETER NONI MJASIRIAMALI NA MBUNIFU WA MAVAZI NCHINI‏

MOblog: Ulipata nafasi ya kuhudhuria mkutano wa Uchumi duniani (World Economic Forum 2014) hebu tueleze ulipata vipi nafasi ya kuhudhuria? MOblog Tanzania hivi karibuni ilifanya mahojiano na Mjasiriamali na mbunifu wa mavazi nchini Doreen Noni aliyehudhuria mkutano wa Uchumi Duniani uliofanyika huko Davos, Uswisi (World Economic Forum) mwezi uliopita juu ya yote anazungumzia nafasi ya Wanawake, Vijana na Ujasiriamali...

 

10 years ago

Vijimambo

IBADA YA KISWAHILI NA SEMINA YA PETER MITIMINGI

Mchungaji Peter Mitimingi akitoa semina kwa waumini wa kanisa la kiswahili Columbus, Ohio iliyofanyika Jumapili July 26, 2015 Columbus, Ohio nchini Marekani. Picha zote na Akili Mtaam, Mwakilishi wa Vijimambo, Columbus, Ohio.Mchungaji wa ibada ya kiswahili Columbus, Ohio akitoa mahaubiri kwa waumini wa ibada ya kiswahili iliyofanyika siku ya Jumapili July 26, 2015 Columbus, Ohio.Waumini wa ibada ya kiswahili wakifuatilia semina ya mchungaji Peter Mitimingi iliyofanyika siku ya Jumapili July...

 

11 years ago

Habarileo

Gabon waomba mwalimu kuwafundisha Kiswahili

SERIKALI ya Gabon kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imeomba kupatiwa Mhadhiri wa kufundisha Kiswahili katika Vyuo vya Elimu ya Juu nchini Gabon.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwalimu Nyerere na siri ya maendeleo ya Kiswahili nchini

Katika Afrika ya Mashariki, tangu enzi za ukoloni mpaka sasa, Kiswahili kinaonekana kutamalaki zaidi Tanzania kuliko nchi nyingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Mzee Mwinyi ni mwalimu ‘darasa maalumu la Kiswahili’

Lugha ya Kiswahili ni tunu iliyositirika kwetu, haina budi kuenziwa. Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, ni mfano mzuri na wa kuigwa katika kukienzi Kiswahili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani