Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTANA NA DOREEN PETER NONI MJASIRIAMALI NA MBUNIFU WA MAVAZI NCHINI‏

MOblog: Ulipata nafasi ya kuhudhuria mkutano wa Uchumi duniani (World Economic Forum 2014) hebu tueleze ulipata vipi nafasi ya kuhudhuria? MOblog Tanzania hivi karibuni ilifanya mahojiano na Mjasiriamali na mbunifu wa mavazi nchini Doreen Noni aliyehudhuria mkutano wa Uchumi Duniani uliofanyika huko Davos, Uswisi (World Economic Forum) mwezi uliopita juu ya yote anazungumzia nafasi ya Wanawake, Vijana na Ujasiriamali...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TANZANIAN YOUTH, DOREEN NONI, AT THE WORLD ECONOMIC FORUM‏

Doreen Noni at Davos. In January 2012, Doreen Noni, Creative Director of Eskado Bird, was one of the 70 carefully selected Global Shapers from 36 countries to attend the first ever Global Shapers delegation in Davos, Switzerland hosted by the World Economic Forum representing her fashion label Eskado Bird. This year, Doreen is the only Global Shaper from the Tanzanian hub attending the Annual 2014 World Economic Forum in Davos,...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI

Na Mwandishi wetuMbunifu wa kimataifa wa mavazi kutoka Tanzania, Sheria Ngowi amedhihirisha kuwa yeye ni nguli katika ubunifu baada ya kufinika katika onyesho la mavazi la kimataifa lijulikanalo kama Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014 lililofanyika juzi Ijumaa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita 'PRIDE' yaani kujivunia, kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunifu Sheria Ngowi afunika katika maonyesho ya mavazi ya ‘Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014′ nchini Afrika Kusini

Na Mwandishi wetu

Mbunifu wa kimataifa wa mavazi kutoka Tanzania, Sheria Ngowi amedhihirisha kuwa yeye ni nguli katika ubunifu baada ya kufinika katika onyesho la mavazi la kimataifa lijulikanalo kama Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014 lililofanyika juzi Ijumaa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.

Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita ‘PRIDE’ yaani kujivunia,  kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru...

 

11 years ago

Michuzi

Nyota wa WIKI: WILLY MATUNDA, mjasiriamali mbunifu wa dodoma


 Msaidizi wa Willy Matunda akiandaa 'duka' la matunda linalotembea nje ya hoteli ya Zahir katika mtaa wa Mtendeni mjini Dodoma. 
 Willy Matunda mwenyewe akiandaa matunda kwa ajili ya wateja wake. Huyu bwana anasifika sio tu kwa kuwa na matunda fresh kila siku pamoja na usafi bali pia kwa kupania kufanya watu wale matunda sana, sio kungoja hadi mtu alazwe hospitali kwanza ndipo ale...
 Duka litembealo la Willy Matnda 
Wateja kibao kwa Willy Matunda ambaye ameihamasisha Globu ya Jamii...

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano na mbunifu mavazi Linda Bezuidenhout (LB) Pt II

Karibu katika sehemu ya pili na ya mwisho ya mahojiano na mbunifu wa kimataifa wa mitindo mwenye asili ya Tanzania, Linda Bezuidenhout
 Ameeleza mengi kuhusu kazi yake na familia kwa ujumla.
Anavyokabiliana na kazi zake, changamoto za afanyalo, tuzo alizopata nk
Na pia, kaeleza kuhusu mtazamo wake juu ya waTanzania (hasa wa Diaspora) na ushauri kwa kinamama wote
KARIBU

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani