Changamoto za wakaguzi wa ndani zatajwa
BAADHI ya Wakaguzi wa Ndani wa Hesabu za Serikali wamekuwa wakishindwa kufanya kazi zao kwenye utaratibu mzuri kutokana na wengi wao kutokuwa na ujuzi wa taratibu hizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Dec
Changamoto za kulinda watoto zatajwa
KUTOKUWAPO kwa uhusiano wa karibu kati ya sheria, sera, miongozo na kanuni, bado ni changamoto kubwa katika kulinda na kuwasimamia watoto na vijana waliopo kwenye mazingira magumu.
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Changamoto sekta ya kilimo zatajwa
TANZANIA inakabiliwa na changamoto zinazosababisha kudidimia kwa sekta ya kilimo na kuhatarisha upatikanaji wa hakika wa chakula. Mkuu wa Taasisi ya Shirikishi Media kwa Maendeleo ya Jamii (PMCD), Josephat Mwanzi,...
10 years ago
Michuzi15 May
Changamoto za maboresho ya usimamizi wa fedha za umma zatajwa
Mratibu wa Mradi huo,Bwa.Sebastian Ndandala ametaja changamoto hizo leo mjini Kibaha alipokuwa akiwasilisha mada kwa waandishi wa habari pamoja na waendeshaji wa mitandao ya jamii ikiwa ni hatua ya kushirikisha vyombo vya habari juu ya utekelezaji wa...
10 years ago
Michuzi15 May
Changamoto maboresho usimamizi wa fedha za umma zatajwa
![Kulia ni Mratibu wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) akifafanua jambo juu ya utekelezaji wa mradi huo kwa wanahabari.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0051.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakifuatilia mada mbalimbali.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0009.jpg)
![Msemaji wa Wizara ya Fedha Ingiahedi Mduma (katikati) akiuliza swali kwa Mratibu wa Mradi wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) hayupo pichani.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_00171.jpg)
![Kulia ni Mratibu wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) akifafanua jambo juu ya utekelezaji wa mradi huo kwa wanahabari.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0046.jpg)
11 years ago
Habarileo13 Jan
Wakaguzi wa ndani kuwa chini ya CAG
SERIKALI imebadili mifumo ya uendeshaji ndani ya halmashauri za wilaya na kuondoa wakaguzi wa ndani wa hesabu kuwa chini ya wakurugenzi. Badala yake, watawajibika kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la mwaka la wakaguzi wa hesabu za ndani jijini Arusha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifurahia burudani ya ngoma ya asili wakati akiwasili kwenye Ukumbi wa AICC jijini Arusha jana Septemba 24, 2014 kwa ajili ya kufungua Kongamano la mwaka la siku tatu la Wakaguzi wa Hesabu za Ndani. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua Kongamano la mwaka la siku tatu la Wakaguzi wa Hesabu za Ndani, linaloendelea kwenye ukumbi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-nBohOFDvSME/VCLrRqhh9OI/AAAAAAADFP8/3aDCdGixnBQ/s72-c/00.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA MWAKA LA WAKAGUZI WA HESABU ZA NDANI JIJINI ARUSHA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-nBohOFDvSME/VCLrRqhh9OI/AAAAAAADFP8/3aDCdGixnBQ/s1600/00.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4EU4CJDwcAs/VCLrR9yygyI/AAAAAAADFQA/4O8qtpQHqjg/s1600/000.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RoB54N5dSV0/VCLrRoTXmMI/AAAAAAADFP4/ku1W_lUTWYU/s1600/01.jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Chadema waige ODM kukabili changamoto za ndani
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Changamoto, mafanikio ya Rooney ndani ya Man United