Chadema waige ODM kukabili changamoto za ndani
Nimekuwa nikifuatilia mgogoro wa Chadema katika vyombo mbalimbali vya habari na katika mitandao ya kijamii, naona ni mipasho tu, hauna tija katika kuleta demokrasia nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Tibaijuka asisitiza ushirikiano duniani kukabili changamoto mbalimbali
Baadhi ya wakuu wa mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa nchini wakiwapokea wageni waalikwa kwenye hafla mchapalo ya kusheherekea miaka 69 ya Umoja wa Mataifa iliyofanyika mwishoni mwa juma jijini Dar.
Na Mwandishi wetu
Tanzania imetaka jumuiya za kimataifa na washirika wa maendeleo kuhakikisha wanashirikiana na Umoja wa Mataifa kuhakikisha kwamba madhumuni ya kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa (UN) yanafikiwa.
Umoja wa Mataifa ulianzishwa miaka 69 iliyopita kuhakikisha amani, maendeleo na...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_3160.jpg)
TIBAIJUKA ASISITIZA USHIRIKIANO DUNIANI KUKABILI CHANGAMOTO MBALIMBALI
10 years ago
Michuzi27 Oct
PROF.TIBAIJUKA ASISITIZA USHIRIKIANO DUNIANI KUKABILI CHANGAMOTO MBALIMBALI
![DSC_0060](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00601.jpg)
![DSC_0062](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00621.jpg)
![DSC_0036](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00362.jpg)
10 years ago
Habarileo15 Feb
Changamoto za wakaguzi wa ndani zatajwa
BAADHI ya Wakaguzi wa Ndani wa Hesabu za Serikali wamekuwa wakishindwa kufanya kazi zao kwenye utaratibu mzuri kutokana na wengi wao kutokuwa na ujuzi wa taratibu hizo.
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Changamoto, mafanikio ya Rooney ndani ya Man United
10 years ago
Mwananchi09 Sep
TMA imeonyesha njia, wengine waige
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-trxPV7yToyk/XnsGEQAAyPI/AAAAAAALk_A/CNJcKN367KgnJn14sfLoQBC1pvMZzUZfACLcBGAsYHQ/s72-c/7a57dca7-c661-4d35-878c-b02b35a5961c.jpg)
DC KATAMBI ALIAGIZA JIJI LA DODOMA KUMALIZA CHANGAMOTO YA TAKATAKA NDANI YA SAA 72
Charles James, Globu ya Jamii
KATIKA kuepukana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo ugonjwa wa Kipindupindu, Jiji la Dodoma limeagizwa kuchukua hatua za haraka kwa kumaliza changamoto ya uchafu ambayo imekua ikilalamikiwa na wananchi wake.
Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe Patrobas Katambi leo wakati alipofanya ziara ya kukagua usafi wa mazingira katika mitaa na masoko mbalimbali ya jiji hilo.
Katika ziara yake hiyo, DC Katambi amebaini uwepo wa takataka nyingi kwenye mitaa...
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Mkutano Mkuu wa ODM wavunjika
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RWdM-vthukY/XqwJT-AGyOI/AAAAAAALow8/pQfpxGnJ9F4J5W29i2qQDPPzDpwiRl0PgCLcBGAsYHQ/s72-c/mbowe%252Bpic.jpg)
CHADEMA YAAMUA KUZUIA WABUNGE WAKE KUSHIRIKI VIKAO VYA BUNGE LA BAJETI,KUKAA KARANTINI KWA SIKU 14 KUKABILI CORONA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo( CHADEMA)kimewataka Wabung wake wote kutohudhuria vikao vya Bunge la Bajeti pamoja na kuhudhuria vikao vya Kamati za Bunge.
Pia Chama hicho kimewataka wabunge wake kujiweka karantini kwa muda usiopungua siku14 kama hatua ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.
Taarifa ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambayo ameitoa leo Mei 1,2020 kwa vyombo vya habari amesema ni wakati wa kila mmoja wao kuchukua hatua za kijikinga na...