TMA imeonyesha njia, wengine waige
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ni mojawapo ya wakala za Serikali iliyoko chini ya Wizara ya Uchukuzi ambayo kwa siku za karibuni imejiainisha kwa utendaji mzuri ambao hakuna siri kwamba unafaa kuigwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
KANDEGE- AIPIGIA SALUTE KAMPENI YA ELIMISHA KIBAHA,AAGIZA WAKUU WA WILAYA WENGINE WAIGE MFANO


*********************************
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
NAIBU Waziri wa TAMISEMI, Josephat Kandege amezindua madarasa 32 na ofisi nne za walimu katika shule za sekondari,yaliyojengwa kupitia kampeni ya ELIMISHA KIBAHA,mkoani Pwani ambayo yatapunguza changamoto iliyokuwepo awali ya mlundikano wa wanafunzi madarasani na yatatumiwa na wanafunzi takriban 900.
Katika hafla hiyo ya kukabidhi madarasa hayo,amewaasa wazazi na walezi kuwapa elimu watoto wao na kuhakikisha wanafuatilia muendendo wa...
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Chadema waige ODM kukabili changamoto za ndani
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Twiga Stars imeonyesha wanawake Tanzania wanaweza
10 years ago
Vijimambo31 Dec
TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto, Mvua kubwa isiyotabirika yaja, TMA yatahadharisha wananchi

5 years ago
Michuzi
UNESCO imeonyesha kuwa asilimia 40 ya nchi maskini zaidi haziwasaidii wanafunzi walio katika hatari wakati huu wa janga la COVID-19

Ripoti hii inatoa uchanganuzi wa kina kuhusu vipengele msingi vya utengaji wa wanafunzi katika mifumo ya elimu ulimwenguni vikiwemo mahali walimotoka, utambulisho na uwezo (yaani, jinsia, umri, mahali walimotoka, umaskini, ulemavu, kabila, asili, lugha, dini, hali ya...
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Virusi vya corona: Papa Francis asema corona imeonyesha jinsi maskini wanavyotengwa na jamii
5 years ago
Michuzi
Usomaji kwa njia ya kidijitali : Vodacom Instant Schools njia sahihi ya elimu kwa vitendo

Wazo la usomaji kwa njia ya kidijitali linalenga kuongeza ufanisi na kuboresha mazingira ya usomaji kwa wahusika kutumia nyenzo za kisasa. Lengo siyo kuachana na mfumo wa mafunzo ya darasani bali kuuboresha kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia.
Kwa...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Wasiopenda kujifunza kwa njia rahisi, watajifunza kwa njia ngumu
NIMEMSIKIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisema kuwa katiba mpya haileti maendeleo hata ikija. Msingi wa hoja yake ni kuwa katiba mpya siyo mtatuzi wa matatizo...
10 years ago
Habarileo04 Mar
TMA: Ni mwaka wa ukame
HALI ya ukame inatarajiwa kukabili nchi kutokana na upungufu wa mvua utakaoathiri pia upatikanaji wa nishati ya umeme.