KANDEGE- AIPIGIA SALUTE KAMPENI YA ELIMISHA KIBAHA,AAGIZA WAKUU WA WILAYA WENGINE WAIGE MFANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-RuiLyVtXvY4/XvOH52w47TI/AAAAAAALvTU/GGqCbSPjAwU5OjzT-3zDQecwHEoUEanegCLcBGAsYHQ/s72-c/f924af82-4ade-4b50-931e-0f6538c2a869.jpg)
*********************************
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
NAIBU Waziri wa TAMISEMI, Josephat Kandege amezindua madarasa 32 na ofisi nne za walimu katika shule za sekondari,yaliyojengwa kupitia kampeni ya ELIMISHA KIBAHA,mkoani Pwani ambayo yatapunguza changamoto iliyokuwepo awali ya mlundikano wa wanafunzi madarasani na yatatumiwa na wanafunzi takriban 900.
Katika hafla hiyo ya kukabidhi madarasa hayo,amewaasa wazazi na walezi kuwapa elimu watoto wao na kuhakikisha wanafuatilia muendendo wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Breaking News: JK afanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya huku wengine wakitenguliwa
Habari zilizotufikia hivi punde Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amefanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya leo mjini Dodoma kwa taarifa iliyotangazwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa niaba ya Rais hivi punde, huku Paul Makonda aula na kuwa DC wa Kinondoni.
Modewjiblog itakueletea taarifa kamili hivi punde endelea kuperuzi mtandao wetu.
9 years ago
Dewji Blog04 Oct
JK ateua wakuu wa wilaya wapya 13 na kuwahamisha vituo vya kazi wengine saba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wa wilaya wapya 13 na kuwahamisha vituo vya kazi wengine saba.
Wakuu wa wilaya 13 walioteuliwa ni Shaaban Athuman Ntanambe ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato, Mkoa wa Kagera; Thabisa Mwalapwa ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Hanang, Mkoa wa Manyara; Richard Kasesera ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Mkoa wa Iringa, Ruth Msafiri ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Mkoa wa Kigoma na...
10 years ago
Mwananchi09 Sep
TMA imeonyesha njia, wengine waige
9 years ago
Michuzi14 Sep
Taarifa potofu kuhusu ushiriki wa watumishi wa Umma Kwenye Kampeni za kisiasa na matumizi ya Magari kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kwamba Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema “Ni kosa kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya kutumia rasilimali za serikali yakiwemo magari katika mikutano ya kampeni ya Chama cha Mapinduzi (CCM).”
Alichosema Katibu Mkuu Kiongozi ni kwamba Watumishi wa Umma wakiwemo Wakuu wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IgFolVmSdDc/VikjJaybHvI/AAAAAAADBTo/f7T2dsjsQD4/s72-c/_MG_8626.jpg)
Magufuli afanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kibamba,Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini na Kibaha mjini jijini Dar leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-IgFolVmSdDc/VikjJaybHvI/AAAAAAADBTo/f7T2dsjsQD4/s640/_MG_8626.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v71L4Lfc83g/VikjJoulG3I/AAAAAAADBTs/ynUqrQMxGMs/s640/_MG_8581.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VeSlQCeD2Lw/VikjSh8EWJI/AAAAAAADBUU/roQcPwLizU0/s640/_MG_8765.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Oct
HUMPHREY POLEPOLE: AIPIGIA KAMPENI CCM KWA KUSINGIZIA RASIMU YA WARIOBA
Natumai humajambo ndugu Watanzania Wa Tanganyika na Zanzibar. Na assalamu alaikhum ndugu wote Waislamu muliopo ndani na Nje ya Visiwa vyetu adhimu. Ama kwakuanza makala yangu hii nimeweza kufuatilia Humphrey Polepole. Kijana ambae alikuwa Makini kuitetea […]
The post HUMPHREY POLEPOLE: AIPIGIA KAMPENI CCM KWA KUSINGIZIA RASIMU YA WARIOBA appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
MichuziMHE. CHIKU GALLAWA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WATEULE WA WILAYA ZA MKOA WA DODOMA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Hatua zilizochukuliwa TRA ziwe mfano kwa wengine
10 years ago
Dewji Blog26 May
JK amemteua Bwana Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa-Dodoma, ,afanya uhamisho wa wakuu 10 wa wilaya