Breaking News: JK afanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya huku wengine wakitenguliwa
Habari zilizotufikia hivi punde Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amefanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya leo mjini Dodoma kwa taarifa iliyotangazwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa niaba ya Rais hivi punde, huku Paul Makonda aula na kuwa DC wa Kinondoni.
Modewjiblog itakueletea taarifa kamili hivi punde endelea kuperuzi mtandao wetu.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AFANYA MABADILIKO YA WAKUU WA WILAYA
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/6gjzQ3W86C8/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 May
JK amemteua Bwana Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa-Dodoma, ,afanya uhamisho wa wakuu 10 wa wilaya
10 years ago
Mwananchi14 May
Dk Shein afanya mabadiliko ya wilaya
9 years ago
Dewji Blog04 Oct
JK ateua wakuu wa wilaya wapya 13 na kuwahamisha vituo vya kazi wengine saba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wa wilaya wapya 13 na kuwahamisha vituo vya kazi wengine saba.
Wakuu wa wilaya 13 walioteuliwa ni Shaaban Athuman Ntanambe ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato, Mkoa wa Kagera; Thabisa Mwalapwa ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Hanang, Mkoa wa Manyara; Richard Kasesera ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Mkoa wa Iringa, Ruth Msafiri ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Mkoa wa Kigoma na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RuiLyVtXvY4/XvOH52w47TI/AAAAAAALvTU/GGqCbSPjAwU5OjzT-3zDQecwHEoUEanegCLcBGAsYHQ/s72-c/f924af82-4ade-4b50-931e-0f6538c2a869.jpg)
KANDEGE- AIPIGIA SALUTE KAMPENI YA ELIMISHA KIBAHA,AAGIZA WAKUU WA WILAYA WENGINE WAIGE MFANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-RuiLyVtXvY4/XvOH52w47TI/AAAAAAALvTU/GGqCbSPjAwU5OjzT-3zDQecwHEoUEanegCLcBGAsYHQ/s640/f924af82-4ade-4b50-931e-0f6538c2a869.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1a5fe950-8cdb-4377-90b7-9a4431fc42f4.jpg)
*********************************
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
NAIBU Waziri wa TAMISEMI, Josephat Kandege amezindua madarasa 32 na ofisi nne za walimu katika shule za sekondari,yaliyojengwa kupitia kampeni ya ELIMISHA KIBAHA,mkoani Pwani ambayo yatapunguza changamoto iliyokuwepo awali ya mlundikano wa wanafunzi madarasani na yatatumiwa na wanafunzi takriban 900.
Katika hafla hiyo ya kukabidhi madarasa hayo,amewaasa wazazi na walezi kuwapa elimu watoto wao na kuhakikisha wanafuatilia muendendo wa...
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Breaking News: Rais Magufuli awaapisha Makatibu Wakuu, Ikulu – Dar
Rais John Pombe Magufuli asubuhi hii kwenye Ikulu jijini Dar es Salaam, anawaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wa wizara mbalimbali aliowateua juzi Desemba 30.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-asuCk-VGCIc/UvJK9Vtpl3I/AAAAAAAFLAw/76XDIsDXTzI/s72-c/New+Picture+(8).bmp)
NEWS ALERT: IGP MANGU AFANYA MABADILIKO KWA BAADHI YA MIKOA
![](http://4.bp.blogspot.com/-asuCk-VGCIc/UvJK9Vtpl3I/AAAAAAAFLAw/76XDIsDXTzI/s1600/New+Picture+(8).bmp)
Miongoni mwa makamanda wa mikoa waliofanyiwa mabadiliko ni pamoja na aliyekuwa kamanda wa Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi mwandamizi (SACP) Deusdedit Nsimeki anayekwenda kuwa kamanda wa Polisi mkoa wa Manyara, Aliyekuwa kamanda wa Polisi...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
BREAKING NEWS: Matokeo ya kituo Kituo cha Skuli ya Bwagamoyo Wilaya ya Wete Pemba jimbo Mtambwe.
BREAKING NEWS: Matokeo ya kituo nilichopiga kura mimi. Kituo cha Skuli ya Bwagamoyo Wilaya ya Wete Pemba jimbo Mtambwe. Kituo namba 1. Kura za Maalim Seif ni 317 na za Dk Shein ni 5. Kituo namba […]
The post BREAKING NEWS: Matokeo ya kituo Kituo cha Skuli ya Bwagamoyo Wilaya ya Wete Pemba jimbo Mtambwe. appeared first on Mzalendo.net.