Dk Shein afanya mabadiliko ya wilaya
Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amefanya mabadiliko ya mipaka katika baadhi ya mikoa na wilaya, huku akizindua upya shehia 384 za Unguja na Pemba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AFANYA MABADILIKO YA WAKUU WA WILAYA
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Breaking News: JK afanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya huku wengine wakitenguliwa
Habari zilizotufikia hivi punde Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amefanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya leo mjini Dodoma kwa taarifa iliyotangazwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa niaba ya Rais hivi punde, huku Paul Makonda aula na kuwa DC wa Kinondoni.
Modewjiblog itakueletea taarifa kamili hivi punde endelea kuperuzi mtandao wetu.
10 years ago
Dewji Blog26 May
JK amemteua Bwana Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa-Dodoma, ,afanya uhamisho wa wakuu 10 wa wilaya
9 years ago
MichuziMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
9 years ago
GPLMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
11 years ago
Habarileo06 Feb
IGP afanya mabadiliko ya makamanda Jeshi la Polisi
MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko katika nafasi mbalimbali za jeshi hilo huku akifanya uhamisho kwa baadhi ya makamanda.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-KvN4DGM1hXU/XoXqmk9kIrI/AAAAAAAC2T8/wEPSvZnqyuEJKT6LL0RLgRpGKu9nlPZ6QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI AFANYA MABADILIKO YA MAKAMANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KvN4DGM1hXU/XoXqmk9kIrI/AAAAAAAC2T8/wEPSvZnqyuEJKT6LL0RLgRpGKu9nlPZ6QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Makamanda walioguswa na mabadiliko hayo ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Zimamoto na Uokoaji (SACF) ABDALLAH MAUNDU anakwenda kuwa (RFO) Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kigoma, kabla ya nafasi hiialikuwa Makao Makuu Dodoma.
Aliyekuwa Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACF) SALUM M. OMARI, anayekwenda kuwa (RFO) Kamanda wa Mkoa wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ikFQgKt65KYGtk9ohnP9aIdcx5UtH8m6POidyrLKtVm1YNKT8jbTXO*Cu9eyXAYiDQPGdNYRPJ5xMnT-XwmAC-tOAYqzjtAv/IGP_ErnestMangu4.jpg?width=650)
IGP MANGU AFANYA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA POLISI
10 years ago
StarTV24 Jan
Rais Kikwete afanya mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri.
Rais Jakaya kikwete wa Tanzania ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri.
Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano.
Tangazo hilo lilifanywa na katibu katika ikulu ya rais balozi Ombeni Sefue.
Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa waziri wa nishati na kawi wa Profesa Muhongo ambaye amejiuzulu mapema leo pamoja na wadhfa wa waziri wa ardhi ambao uliwachwa wazi baada ya kupigwa kalamu kwa Anna Tibaijuka.
Mawaziri hao wawili wanahusishwa na kashfa ya ufisadi...