Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Changamoto za kulinda watoto zatajwa

KUTOKUWAPO kwa uhusiano wa karibu kati ya sheria, sera, miongozo na kanuni, bado ni changamoto kubwa katika kulinda na kuwasimamia watoto na vijana waliopo kwenye mazingira magumu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Changamoto za wakaguzi wa ndani zatajwa

BAADHI ya Wakaguzi wa Ndani wa Hesabu za Serikali wamekuwa wakishindwa kufanya kazi zao kwenye utaratibu mzuri kutokana na wengi wao kutokuwa na ujuzi wa taratibu hizo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Changamoto sekta ya kilimo zatajwa

TANZANIA inakabiliwa na changamoto zinazosababisha kudidimia kwa sekta ya kilimo na kuhatarisha upatikanaji wa hakika wa chakula. Mkuu wa Taasisi ya Shirikishi Media kwa Maendeleo ya Jamii (PMCD), Josephat Mwanzi,...

 

10 years ago

Michuzi

Changamoto maboresho usimamizi wa fedha za umma zatajwa

Kulia ni Mratibu wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) akifafanua jambo juu ya utekelezaji wa mradi huo kwa wanahabari. Kulia ni Mratibu wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) akifafanua jambo juu ya utekelezaji wa mradi huo kwa wanahabari.Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakifuatilia mada mbalimbali. Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakifuatilia mada mbalimbali.Msemaji wa Wizara ya Fedha Ingiahedi Mduma (katikati) akiuliza swali kwa Mratibu wa Mradi wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) hayupo pichani. Msemaji wa Wizara ya Fedha Ingiahedi Mduma (katikati) akiuliza swali kwa Mratibu wa Mradi wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) hayupo pichani.Kulia ni Mratibu wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) akifafanua jambo juu ya utekelezaji wa mradi huo kwa wanahabari. Kulia ni Mratibu wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha...

 

10 years ago

Michuzi

Changamoto za maboresho ya usimamizi wa fedha za umma zatajwa

PROGRAMU ya Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) imetaja changamoto zinazoukabili mradi huo licha ya mafadikio mengi iliyoyapata wakati mradi huo ukiingia awamu ya nne ya utekelezaji wake. 
Mratibu wa Mradi huo,Bwa.Sebastian Ndandala ametaja changamoto hizo leo mjini Kibaha alipokuwa akiwasilisha mada kwa waandishi wa habari pamoja na waendeshaji wa mitandao ya jamii ikiwa ni hatua ya kushirikisha vyombo vya habari juu ya utekelezaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi kulinda haki za watoto

WANANCHI wametakiwa kuzingatia haki za binadamu na kutambua kuwa kila mmoja ana wajibu wa kuishi bila kushurutishwa na mtu. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete atuzwa kulinda, kutetea watoto duniani

RAIS Jakaya Kikwete, ametunukiwa tuzo na Taasisi inayosambaza chanjo za watoto duniani ya Global Alliance for Vaccines and Immunization (GAVI) kwa uongozi wake katika kutetea na kulinda maisha na hadhi ya watoto duniani.

 

9 years ago

Habarileo

Clouds kuanzisha kipindi cha kulinda watoto

KITUO cha televisheni cha Clouds kinatarajiwa kuanza kurusha kipindi kinachoelezea masuala ya kulinda watoto ambao kwa sasa wanakabiliwa na changamoto mbalimbali, nyingi zikitokana na wazazi au walezi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa serikali za mitaa wanapaswa kulinda watoto dhidi ya ndoa za utotoni (2)

WIKI iliyopita katika tafakuri yetu hii, tulianza kujadili matokeo ya kukithiri kwa mimba za utotoni kama janga la kitaifa ambalo linasababishwa na kuwepo kwa mifumo ya kiutawala ambayo haijali na kuzingatia...

 

5 years ago

Michuzi

USHIRIKIANO UNAHITAJIKA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA HAKI ZA WATOTO

RIPOTI ZA WATOTO Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Sharmillah Sarwatt amewataka wadau mbalimbali wanaohusika mashauri na haki za watoto kushirikiana ili kuweza kutatua changamoto   zilizopo katika mahabusu   na baadhi ya magereza ili hakikisha mtoto anapatiwa haki kwa wakati na katika mazingira bora, ikiwemo kulindwa. Akizungumza leo wakati akifungua kikao kazi cha wadau wa Mahakama baada ya kufanyika ukaguzi wa mahabusu za watoto na baadhi ya magereza ulifanyika kuanzia Machi 16...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani