Sekta zinazochangia gesijoto zatajwa
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Binilith Mahenge, amesema sekta mbalimbali zikiwamo za nishati, kilimo, misitu na viwanda zinachangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la gesijoto duniani. Mahenge alisema...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Changamoto sekta ya kilimo zatajwa
TANZANIA inakabiliwa na changamoto zinazosababisha kudidimia kwa sekta ya kilimo na kuhatarisha upatikanaji wa hakika wa chakula. Mkuu wa Taasisi ya Shirikishi Media kwa Maendeleo ya Jamii (PMCD), Josephat Mwanzi,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Tabia na tamaduni hatarishi zinazochangia maambukizi ya VVU kwa Vijana zabainishwa
Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akitoa mada kuhusu tabia hatarishi zinazochangia maambukizi mapya ua VVU kwa Vijana katika warsha ya siku tatu ya Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika katika Kituo cha Redio cha Nuru FM mjini Iringa.
Na Mwandishi wetu
Idadi kubwa ya Vijana hususan wa kike wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24 wanaanza kufanya mapenzi katika umri mdogo jambo ambalo linaashiria hatari ya maambukizi ya VVU ikilinganishwa na idadi ya...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_0092.jpg?width=650)
TABIA NA TAMADUNI HATARISHI ZINAZOCHANGIA MAAMBUKIZI YA VVU KWA VIJANA ZABAINISHWA
10 years ago
Habarileo11 Dec
Changamoto za kulinda watoto zatajwa
KUTOKUWAPO kwa uhusiano wa karibu kati ya sheria, sera, miongozo na kanuni, bado ni changamoto kubwa katika kulinda na kuwasimamia watoto na vijana waliopo kwenye mazingira magumu.
11 years ago
Habarileo23 May
Kero za Muungano zilizosalia zatajwa
MAKAMU wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi ametaja kero za Muungano zilizo katika hatua za mwisho za ufumbuzi huku akieleza kwamba nyingi zimepatiwa ufumbuzi.
10 years ago
Habarileo15 Feb
Changamoto za wakaguzi wa ndani zatajwa
BAADHI ya Wakaguzi wa Ndani wa Hesabu za Serikali wamekuwa wakishindwa kufanya kazi zao kwenye utaratibu mzuri kutokana na wengi wao kutokuwa na ujuzi wa taratibu hizo.
10 years ago
Habarileo13 Aug
Hospitali za wagonjwa wa ebola zatajwa
PAMOJA na kuwa mpaka sasa hakuna mgonjwa mwenye virusi vya homa hatari ya ebola, wala anayehisiwa kuwa na ugonjwa huo nchini, Serikali imeshajiandaa kukabiliana na ugonjwa huo, ambao umeshaua zaidi ya watu 1,000 katika nchi za Afrika Magharibi.
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Taasisi za dini zatajwa sakata la makontena