Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YASEMA HAKUNA DENI HALALI LA WALIMU AMBALO HALIJALIPWA.

Na Magreth Kinabo- maelezoSERIKALI imesema kwamba imeshalipa madeni ya walimu  ya kiasi cha Sh. bilioni 5.7 ambayo yaligungulika kihalali kati ya Sh. bilioni 19.6 zilizokuwa zinadaiwa kudaiwa,hivyo  kwa  sasa hakuna  malalamiko mwalimu ambaye hajalipwa.
Aidha Serikali imependekeza kwamba   halimashauri  zilizowasilisha  madeni ambayo si  halali, yenye shaka, au watumishi wasio na madai, madai ya watumishi wasio na madai, madai ya watumishi waliokwishalipwa na waliowasilisha madai ya mishahara...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali yasema hakuna mgonjwa wa ebola


NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imekanusha kuwepo kwa ugonjwa wa ebola nchini, huku ikithibitisha kuwa mtu aliyedhaniwa kuwa na ugonjwa huo, anasumbuliwa na malaria.
Pia, wanafamilia wa karibu wa mgonjwa huyo wamechunguzwa na kuonekana  hawana dalili za ugonjwa huo au magonjwa jamii ya ebola, kama dengue na chikungunya.
Kauli hiyo ya serikali imetolewa baada ya sampuli ya damu iliyochukuliwa kutoka kwa mgonjwa huyo na kufanyiwa uchunguzi wa kimaabara, kuonyesha kuwa alikuwa akisumbuliwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yasema hakuna Ebola Tanzania

Tanzania imesema haina mgonjwa wa Ebola, baada ya kufanyiwa uchunguzi kwa wagonjwa wawili waliotiliwa shaka kuwa na ugonjwa huo.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yabakiza bil. 4/- tu deni la walimu

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu NchembaBUNGE limeelezwa kuwa deni la walimu linalodaiwa serikalini limeshuka hadi kufikia Sh bilioni 4 tu kutokana na mfumo mzuri wa ulipaji uliowekwa na Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

 

10 years ago

Raia Mwema

Deni la Ugiriki si halali, linapaswa lifutwe

TAREHE tisa mwezi huu ilikuwa siku iliyojaa masikitiko kwa wananchi wengi wa Ugiriki.

Nizar Visram

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bil 10/- zatumika kulipia deni la walimu

WAZIRI wa Nchi Ofisi Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani, amesema serikali imelipa sh. Bilioni 10.9 ya malimbikizo ya madeni na mishahara ya walimu iliyo hakikiwa nchini nzima....

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vy corona: Tanzania yasema hakuna haja ya kuwa na wasiwasi

Serikali ya Tanzania imekana madai kwamba taifa hilo linajikokota katika vita dhidi ya virusi vya corona

 

11 years ago

Mwananchi

Msigwa ataka serikali ichunguze kampuni kubwa halali za uwindaji

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ameitaka Serikali kufanya uchunguzi hata kwa kampuni kubwa za uwindaji zenye leseni halali kwani yapo yanayokiuka sheria.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yapunguza deni MSD

Serikali imeendelea kulipa malimbikizo ya deni la Sh40 bilioni inalodaiwa na Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kwa kutoa Sh10 bilioni hivi karibuni.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yaweka taratibu za kuzingatia ili kuhakikisha kunakuwa na wamiliki halali wa laini za simu

tcra2

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO

Mwanadamu ameumbwa na kuzaliwa akiwa na asili ya kuwa na uwezo na upeo unaomuwezesha kuwasiliana baina ya mtu na mtu kunzia ngazi ya familia, jamii inayomzunguka, taifa na hatimaye ulimwengu mzima.

Akiwa na mamlaka ya kutumia mawasiliano katika maisha yake ya kila siku, mwanadamu anayatumia mawasiliano hayo kama mchakato wa kuhamisha na kupashana taarifa ama habari kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa nyakati tofauti tofauti.

Mchakato huo wa mawasiliano unaweza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani