Billnass alipanga kumshirikisha Maua Sama kwenye Mazoea, aeleza jinsi Mwana FA alivyoingia
Maua Sama ndiye alikuwa amepangwa kushirikishwa kwenye wimbo Mazoea, kwa mujibu wa Billnass.
Akizungumza kwenye kipindi cha Ngaz Kwa Ngaz, Bill alisema wimbo huo aliurekodi mwaka 2014 ambapo aliingiza verse mbili na chorus yake lakini akahitaji pia sauti za Maua Sama.
“Maua ni mshkaji wangu lakini ikija kwenye biashara mimi siletagi tena ushkaji, lazima nifuate management yake na nini. Kwahiyo nikamfuata Mwana FA nikamuambia nina demo ya wimbo wangu nataka uisikilize, sababu mara nyingi pia...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo518 May
New Video: Maua Sama — This Love
9 years ago
Bongo520 Nov
Music: Maua Sama – Mahaba Niue
Mwanamuziki wa kike Maua Sama ameachia wimbo mpya unaitwa “Mahaba Niue”.Producer Ema The Boy
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Bongo503 Sep
Maua Sama: Mwenyezi Mungu aniepushe na scandal
10 years ago
Africanjam.Com10 years ago
GPL19 May
10 years ago
Africanjam.ComNEW MUSIC: DO FOR ME - YOUNG KILLER "MSODOKI" ft. MAUA SAMA (DOWNLOAD)
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
9 years ago
Bongo522 Oct
Young Killer atoa sababu za ngoma yake na Maua Sama ‘Do For Me’ kubuma
9 years ago
Bongo527 Nov
Billnass aeleza alichoenda kufanya South
Rapper Billnass yupo nchini Afrika Kusini ambako amekutana na muongozaji Justin Campos, rapper Kid X.
Billnass amesema safari hiyo imeweza kumfungulia connection na wadau wa sanaa nchini humo. “Nipo SA kuendeleza harakati zingine za kumuziki ikiwemo kutafuta connection na kufanya project zangu,” ameiambia Bongo5.
“Nilitembelea vituo vya SABC na Ukhozi FM ambapo pia nilifanya interview. Pia nimekutana na watayarishaji wa video kama Justin Campos na wengine wa huku huku hata wasanii wakubwa...
10 years ago
Vijimambo