Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Mwana FA na AY wa-tease ngoma mpya

Hamis Mwinjuma a.k.a Mwana FA na swahiba wake Ambwene Yessaya a.k.a AY wame tease ngoma mpya ambayo ni ishara ya ujio wao wa 2015. FA ambaye hivi karibuni ameachia video ya ‘Kiboko Yangu’ aliyomshirikisha Alikiba na kufanyika Kenya, ameshare video wakiwa studio za MJ na AY huku ikisikika sauti ya ngoma mpya, na kuandika “2015….myyyyyyyyyyy […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Roma a-tease wimbo mpya anaotarajia kuachia, aliowashirikisha Mwana FA, Jay Moe na Mwasiti

Miezi michache iliyopita Roma aliahidi kubadilisha mfumo aliokuwa akiutumia wa kutoa wimbo mmoja kwa mwaka, na kusema sasa ataanza utaratibu wa kutoa wimbo zaidi ya mmoja kwa mwaka ili kukata kiu ya mashabiki wake. Ahadi hiyo aliitoa wakati anaachia single yake ya ‘KKK’ mwezi March mwaka huu. Rapper huyo kutoka Tanga anaelekea kutimiza ahadi yake […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Jux aanza ku-tease video mpya ‘One More Night’ aliyoshoot na Justin Campos

Jux - onemorenight-2

Baada ya Vanessa Mdee kuachia video ya ‘Never Ever’ mwezi uliopita, Jux naye ameanza ku-tease wimbo wake mpya, ikiwa ni ishara kuwa muda si mrefu anaweza kuachia kazi nyingine baada ya ‘Looking For You’.

Jux - onemorenight-1
Moja ya picha za video hiyo

Kwa wiki mbili sasa Jux amekuwa aki-tease picha (screenshot) za video ya wimbo huo, huku akiweka hashtag ‘ONE MORE NIGHT’ kuashiria ndio jina la wimbo.

Jux - onemorenight-2

Kwenye picha hizo ameandika captions hizi:

-Natamani tusingefanya I need #onemorenight
-Nilionja sijashiba...

 

9 years ago

Bongo5

Hermy B anatayarisha ngoma mpya ya Mwana FA

12120321_1140272202668159_944774289_n

Si AY na Hermy B tu ndio wamerejesha kwa kasi uswahiba wao kiasi cha kuonekana mara kibao wakiwa pamoja studio hadi hivi karibuni kwenda pamoja Lagos, Nigeria.

12120321_1140272202668159_944774289_n

Hermy B aliyetengeneza hits za FA ikiwemo ‘Bado Nipo Nipo’ anatengeneza ngoma mpya ya Mwana FA. Hermy ambaye ni mwanzilishi wa studio za B’Hits ametweet kwa kuandika:

Kwa wale wanaojua zaidi yangu…nitumie compressor ipi ili sauti ya @MwanaFA isikike vizuri kwenye ngoma yake mpya? pic.twitter.com/IwnFKYsJ5J

— Hermy B (@HermyB1)...

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA ataja sababu kuu za kwanini amekuwa akitoa ngoma chake kwa mwaka (Video)

12301206_416545988542834_2103460087_n

Mwana FA si mtu wa kutoa nyimbo nyingi kwa mwaka. Kwanini? Hizi ni sababu tatu alizozitoa baada ya kukaa na kuzungumza na sisi.

“Naona sina vitu vingi vya kuprove. Kwasababu kama mtu amefika mahali sasa hivi haamini kama nina uwezo, nitakuwa sina uwezo tena wa kumbadilisha,” amesema Mwana FA.

“Muziki mzuri unahitaji muda. Mimi nisharekodi ngoma inakaa mwaka mzima, baadaye tukija tukitaka kuitoa tunakuja tunarekodi tena. Nisharekodi ngoma mara nne kama Kama Zamani ile. Na nafikiri hili...

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA kwenda Afrika Kusini kushoot video ya wimbo mpya

FA

Mwana Fa ni miongoni mwa wasanii waliositisha kazi zao za muziki ili kupisha mambo ya kampeni pamoja na uchaguzi, na sasa baada ya hayo yote kumalizika yuko tayari kurejea kwenye uwanja wake wa kujidai, yaani muziki.

FA

Binamu amesema kuwa ana kazi nyingi ambazo amezifanya na anaendelea kufanya zingine, “Kweli nina kazi wala sio kazi moja wala sio kazi mbili, yani nina kazi kadhaa na wiki ijayo narekodi nyingine,” aliiambia Planet Bongo ya East Africa Radio. “ lakini haya mambo ya uchaguzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ali Kiba azindua Video yake mpya “MWANA” kua wa kwanza kuiona hapa

Untitled

Akiwa ana nyimbo za “Mwana” na “Kimasomaso” zikiongoza  katika vituo mbali mbali Africa, Alikiba aachia video ya “Mwana” iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu jana ,Ijumaa tarehe 19 Decemba 2014 kwa mamilioni ya mashabiki Africa na duniani. “Mwana” ni nyimbo ya kwanza  baada ya kufunga mkataba wake na kampuni ya Rockstar4000 Management na Rockstar Publishing.

Rekodi ya “Mwana” ni nyimbo ya kwanza kutoka kwenye albamu ya tatu ya Alikiba baada ya kutokuwa katika muziki kwa muda wa miaka mitatu....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani