Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kafulila atakiwa kulipa Sh7.5 m

Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi) kwa miaka mitano iliyopita, David Kafulila ameamriwa na Mahakama Kuu, Kanda ya Tabora kulipa Sh7.5 milioni kama dhamana, ili ombi lake lakutaka itengue matokeo ya ubunge wa jimbo hilo yasikilizwe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mmiliki hoteli atakiwa kulipa bilioni 3/-

MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Biashara Kanda ya Arusha imeamuru mfanyabiashara ambaye ni mmiliki wa Hoteli ya Snowcrest ya jijini hapa, Wilfred Tarimo na familia yake kumlipa Dola za Marekani milioni 1.7 (zaidi ya Sh bilioni 3) Mkurugenzi wa Kampuni ya Grand Alliance Ltd, James Ndika kama malipo ya awamu ya kwanza ya kununua hisa ndani ya hoteli hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

IPTL yamtaka Kafulila kulipa fidia ya Sh310 bilioni

Sakata la tuhuma za wizi wa pesa katika Akaunti ya Escrow ndani ya Benki Kuu (BoT) sasa limehamia mahakamani baada ya Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kumfungulia mashtaka Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila.

 

9 years ago

Bongo5

Taylor Swift ashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake ‘Shake It Off’, atakiwa kulipa $42m

taylor-swift_press-2013-650

Staa wa Pop nchini Marekani, Taylor Swift anashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake wa mwaka 2014, Shake It Off na anatakiwa alipe dola milioni 42.

taylor-swift_press-2013-650

Muimbaji wa R&B, Jesse Braham, 50, anadai kuwa Swift aliiba maneno kutoka kwenye wimbo alioundika mwaka 2013 uitwao Haters Gone Hate.

Pamoja na kutaka alipwe kiasi hicho cha fedha kama fidia, Braham anataka jina lake liongezwe kama mwandishi wa wimbo huo. Wawakilishi wa Swift bado hawajajibu chochote kuhusiana na kesi hiyo.

Braham anasema...

 

5 years ago

Michuzi

WALIOKWEPA KULIPA KODI WAHUKUMIWA KULIPA BILIONI 1.5 BAADA YA KUKILI KOSA


Na Karama Kenyunko Michuzi TV,  
ALIYEKUWA Rais wa Kampuni ya Acacia, Deodatus Mwanyika na wenzake wamehukumiwa kulipa fidia ya Sh bilioni 1.5 baada ya kukiri mashitaka ya kukwepa kulipa kodi.
Pia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kulipa faini ya Sh milioni 1.5 1 ama kutumikia kifungo cha miezi minne gerezani iwapo watashindwa kulipa faini hiyo.

Mbali na Mwanyika washitakiwa wengine ni Meneja Uhusiano wa Mgodi wa Bulyanhulu, Alex Lugendo,  Mkurugenzi mtendaji wa mgodi wa Pongea, North...

 

10 years ago

TheCitizen

Sh7.9bn for Kibaha bus stand

>The government has allocated Sh7.9 billion for the construction of a modern bus terminal at Picha ya Ndege in Kibaha district.

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi yaidhinisha gawio la Sh7 bilioni

Kampuni ya Saruji ya Tanga (TCCL) kupita bodi yake ya wakurugenzi imeidhinisha gawio la hisa la Sh7 bilioni kwa wanahisa wake, baada ya kupata faida ya Sh32.4 bilioni kwa mwaka 2013.

 

9 years ago

TheCitizen

Sh7.5 million collected in fines for spreading cholera

Health authorities in Kinondoni Municipality have collected a total of Sh7.5 million in fines from residents who violated sanitation by-laws as part of efforts to contain the cholera outbreak in the city.

 

5 years ago

The Citizen

Tanzania to build Sh7 billion hospital for handling epidemics

Tanzania to build Sh7 billion hospital for handling epidemics  The CitizenHuawei lauded for efforts against COVID-19  The Citizen DailyView Full coverage on Google News

 

11 years ago

TheCitizen

Tanzania tops gas league with Sh7.5tr: report

A new report ranks Tanzania highly in terms of attracting investment in the gas sector in Africa even as Doubting Thomases continue to hold out.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani