Kafulila atakiwa kulipa Sh7.5 m
Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi) kwa miaka mitano iliyopita, David Kafulila ameamriwa na Mahakama Kuu, Kanda ya Tabora kulipa Sh7.5 milioni kama dhamana, ili ombi lake lakutaka itengue matokeo ya ubunge wa jimbo hilo yasikilizwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Aug
Mmiliki hoteli atakiwa kulipa bilioni 3/-
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Biashara Kanda ya Arusha imeamuru mfanyabiashara ambaye ni mmiliki wa Hoteli ya Snowcrest ya jijini hapa, Wilfred Tarimo na familia yake kumlipa Dola za Marekani milioni 1.7 (zaidi ya Sh bilioni 3) Mkurugenzi wa Kampuni ya Grand Alliance Ltd, James Ndika kama malipo ya awamu ya kwanza ya kununua hisa ndani ya hoteli hiyo.
11 years ago
Mwananchi14 Jul
IPTL yamtaka Kafulila kulipa fidia ya Sh310 bilioni
9 years ago
Bongo503 Nov
Taylor Swift ashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake ‘Shake It Off’, atakiwa kulipa $42m
Staa wa Pop nchini Marekani, Taylor Swift anashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake wa mwaka 2014, Shake It Off na anatakiwa alipe dola milioni 42.
Muimbaji wa R&B, Jesse Braham, 50, anadai kuwa Swift aliiba maneno kutoka kwenye wimbo alioundika mwaka 2013 uitwao Haters Gone Hate.
Pamoja na kutaka alipwe kiasi hicho cha fedha kama fidia, Braham anataka jina lake liongezwe kama mwandishi wa wimbo huo. Wawakilishi wa Swift bado hawajajibu chochote kuhusiana na kesi hiyo.
Braham anasema...
5 years ago
MichuziWALIOKWEPA KULIPA KODI WAHUKUMIWA KULIPA BILIONI 1.5 BAADA YA KUKILI KOSA
Na Karama Kenyunko Michuzi TV,
ALIYEKUWA Rais wa Kampuni ya Acacia, Deodatus Mwanyika na wenzake wamehukumiwa kulipa fidia ya Sh bilioni 1.5 baada ya kukiri mashitaka ya kukwepa kulipa kodi.
Pia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kulipa faini ya Sh milioni 1.5 1 ama kutumikia kifungo cha miezi minne gerezani iwapo watashindwa kulipa faini hiyo.
Mbali na Mwanyika washitakiwa wengine ni Meneja Uhusiano wa Mgodi wa Bulyanhulu, Alex Lugendo, Mkurugenzi mtendaji wa mgodi wa Pongea, North...
10 years ago
TheCitizen22 Aug
Sh7.9bn for Kibaha bus stand
11 years ago
Mwananchi26 May
Bodi yaidhinisha gawio la Sh7 bilioni
9 years ago
TheCitizen10 Sep
Sh7.5 million collected in fines for spreading cholera
5 years ago
The Citizen09 Apr
Tanzania to build Sh7 billion hospital for handling epidemics
11 years ago
TheCitizen19 Jul
Tanzania tops gas league with Sh7.5tr: report