ATCL jibuni hoja, acheni kulalamika
KUNA kipindi Rais Jakaya Kikwete aliwaagiza watendaji wa serikali kutoa taarifa kwa waandishi wa habari ili uwepo uwazi katika masuala mbalimbali yanayohusu wizara na idara zao. Pamoja na agizo hilo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Dk. Slaa: Acheni kulalamika
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuacha kulalamika baadala yake wachukue maamuzi magumu ya kutokichagua Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambacho kimebobea kwa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Filikunjombe: Acheni kulalamika
MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amewataka wananchi na viongozi kuacha kulalamika na badala yake wachukue hatua sahihi kwa kila mmoja kuwajibika kwa nafasi yake. Filikunjombe alitoa rai hiyo jana...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...
11 years ago
Mtanzania08 Aug
Dk. Kamani atakiwa kuacha kulalamika
![Mbunge wa Jimbo la Busega,Mh. Titus Kamani](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Titus-Kamani.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Busega,Mh. Titus Kamani
NA MWANDISHI WETU, BUSEGA
MWENYEKITI wa CCM Wilaya ya Busega, Simiyu, Mshoni Mshoni, amemtaka Mbunge wa jimbo hilo, Dk. Titus Kamani, kuacha kutumia vyombo vya habari kupotosha wananchi, badala yake awapelekee maendeleo huku akitekeleza ilani ya uchaguzi ya chama hicho.
Mshoni alisema tabia ya mbunge huyo kutumia vyombo vya habari kupotosha ukweli wa hali halisi ilivyo jimboni inawachanganya wanachama na wananchi.
Mwenyekiti huyo alisema hayo baada...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Wimbo huu wa ‘kulalamika’ hauuziki
10 years ago
Habarileo06 Sep
'Mkikaa vijiweni mtaendelea kulalamika'
MKURUGENZI wa Shirika la Nyumba Tanzania (NHC), Nehemia Mchechu amewataka vijana kuacha kukaa vijiweni na kuitolea Serikali lawama zisizo na msingi na badala yake watumie fursa zinazowazunguka kujiajiri.
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Acha kulalamika, ishi na watu vizuri — 2
Wiki iliyopita nilisema kwamba mtu anaweza akafanya jambo analoona zuri kwake na wakati huo huo likawa chukizo kwa wengine. Sasa endelea… NI vizuri kuepuka kumsifu mtu isivyostahili kwani ni kumvika...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vETSC_nGZZQ/VgUcZPpWkjI/AAAAAAAH7HY/eZb_hEv8Qe8/s72-c/images.jpg)
JK: MWENYE TATIZO NA MUSWADA WA HABARI ALETE MAONI SERIKALINI BADALA YA KUKAA NA KULALAMIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-vETSC_nGZZQ/VgUcZPpWkjI/AAAAAAAH7HY/eZb_hEv8Qe8/s200/images.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI· Aunga mkono asilimia 100 staili ya Kampeni ya Magufuli· Asema Tanzania inahitaji mawazo mapya ili iweze kusonga mbele· Atamani muda wake wa kuongoza Tanzania kumalizika haraka zaidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa kama wapo watu binafsi ama taasisi yoyote mahali popote wenye matatizo na Sheria ya Takwimu mpya...
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Bunge la Katiba lijadili nguvu ya hoja si hoja za nguvu
BUNGE la kujadili katiba mpya limepangwa kuanza rasmi Februari 18 mwaka huu, pale Makao Makuu ya Tanzania, mjini Dodoma. Mijadala itaendeshwa kwa siku 70. Ikibidi zitaongezwa tena siku nyingine 20...