Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Filikunjombe: Acheni kulalamika

MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amewataka wananchi na viongozi kuacha kulalamika na badala yake wachukue hatua sahihi kwa kila mmoja kuwajibika kwa nafasi yake. Filikunjombe alitoa rai hiyo jana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Acheni kulalamika

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuacha kulalamika baadala yake wachukue maamuzi magumu ya kutokichagua Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambacho kimebobea kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

ATCL jibuni hoja, acheni kulalamika

KUNA kipindi Rais Jakaya Kikwete aliwaagiza watendaji wa serikali kutoa taarifa kwa waandishi wa habari ili uwepo uwazi katika masuala mbalimbali yanayohusu wizara na idara zao. Pamoja na agizo hilo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue

MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na  Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...

 

11 years ago

Mwananchi

Wimbo huu wa ‘kulalamika’ hauuziki

Kuna tatizo moja kubwa la viongozi wetu wa vyama vya michezo. Kulalamika. Kulalamika ndiyo utumwa wa viongozi hao. Kila siku habari ya vyama kukosa fedha ndiyo kiini cha mazungumzo.

 

11 years ago

Mtanzania

Dk. Kamani atakiwa kuacha kulalamika

Mbunge wa Jimbo la Busega,Mh. Titus Kamani

Mbunge wa Jimbo la Busega,Mh. Titus Kamani

NA MWANDISHI WETU, BUSEGA

MWENYEKITI wa CCM Wilaya ya Busega, Simiyu, Mshoni Mshoni, amemtaka Mbunge wa jimbo hilo, Dk. Titus Kamani, kuacha kutumia vyombo vya habari kupotosha wananchi, badala yake awapelekee maendeleo huku akitekeleza ilani ya uchaguzi ya chama hicho.

Mshoni alisema tabia ya mbunge huyo kutumia vyombo vya habari kupotosha ukweli wa hali halisi ilivyo jimboni inawachanganya wanachama na wananchi.

Mwenyekiti huyo alisema hayo baada...

 

10 years ago

Habarileo

'Mkikaa vijiweni mtaendelea kulalamika'

MKURUGENZI wa Shirika la Nyumba Tanzania (NHC), Nehemia Mchechu amewataka vijana kuacha kukaa vijiweni na kuitolea Serikali lawama zisizo na msingi na badala yake watumie fursa zinazowazunguka kujiajiri.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Acha kulalamika, ishi na watu vizuri — 2

Wiki iliyopita nilisema kwamba mtu anaweza akafanya jambo analoona zuri kwake na wakati huo huo likawa chukizo kwa wengine. Sasa endelea… NI vizuri kuepuka kumsifu mtu isivyostahili kwani ni kumvika...

 

9 years ago

Michuzi

JK: MWENYE TATIZO NA MUSWADA WA HABARI ALETE MAONI SERIKALINI BADALA YA KUKAA NA KULALAMIKA

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI·         Aunga mkono asilimia 100 staili ya Kampeni ya Magufuli

·         Asema Tanzania inahitaji mawazo mapya ili iweze kusonga mbele

·         Atamani muda wake wa kuongoza Tanzania kumalizika haraka zaidi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya  Mrisho Kikwete amesema kuwa kama wapo watu binafsi ama taasisi yoyote mahali popote wenye matatizo na Sheria ya Takwimu mpya...

 

11 years ago

Habarileo

'Acheni kulipua matumbawe'

WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imekemea ulipuaji wa mabomu katika matumbawe yaliyoko baharini kwani kwa kufanya hivyo kunaharibu uhifadhi wa samaki pamoja na kuharibu mazingira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani