Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: MWENYE TATIZO NA MUSWADA WA HABARI ALETE MAONI SERIKALINI BADALA YA KUKAA NA KULALAMIKA

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI·         Aunga mkono asilimia 100 staili ya Kampeni ya Magufuli

·         Asema Tanzania inahitaji mawazo mapya ili iweze kusonga mbele

·         Atamani muda wake wa kuongoza Tanzania kumalizika haraka zaidi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya  Mrisho Kikwete amesema kuwa kama wapo watu binafsi ama taasisi yoyote mahali popote wenye matatizo na Sheria ya Takwimu mpya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Hadija Mwinuka ametoa wito kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum wawapeleke shule badala ya kukaa nao nyumbani na kuwafungia

Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya

Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume  wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Toeni maoni muswada baraza la vijana’

KATIBU Ofisi ya Mbunge wa Ubungo, Aziz Himbuka, amewataka wadau mbalimbali kutoa maoni yao juu ya kuboreshwa muswada wa kuunda Baraza la Vijana la Taifa. Akizungumza jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Dewji Blog

Maoni ya mdau Auncle Fafi kuhusu Muswada wa makosa ya kimtandao 2015

GO9G3451

Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia inajiandaa kupeleka bungeni muswada wa sheria ya makosa ya mtandao 2015 ambayo unaweza kuisoma kwa kubofya hapa. Kama zilivyo sheria nyingi kabla ya kupitishwa wabunge hupewa nafasi ya kuijadili na kufanya marekebisho pale penye mapungufu.  Baada ya kuipitia haraka haraka nimegundua baadhi ya vitu ambavyo naamini havijakaa sawa na nimejaribu kuelezea kwa chini yake. Ni matumaini yangu wabunge wetu wataipitia vizuri zaidi na kugundua mengi ambayo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Muswada wa habari Februari mwakani

SERIKALI imeendelea kupiga danadana kuleta bungeni muswada wa sheria ya habari na kusema itauleta Februari mwakani badala ya mkutano huu unaoendelea. Akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kilwa Kusini,...

 

10 years ago

Mtanzania

Muswada wa habari kuwasilishwa bungeni

Na Debora Sanja, Dodoma
HATIMAYE Muswada wa Sheria ya kupata Habari na Muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari ya Mwaka 2015, inatarajiwa kuwasilishwa bungeni katika mkutano wa 19 wa Bunge unaoanza leo mjini hapa.
Miswada hiyo inatarajiwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura na inakusudiwa kupitishwa na Bunge katika hatua zake zote.
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa mjini hapa jan,a mbali na miswada hiyo kuwasilishwa, pia miswada mingine minne inatarajiwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura.
“Miswada...

 

10 years ago

Mtanzania

Muswada wa Habari wapingwa vikali

mbilinyiNa Arodia Peter, Dodoma
MUSWADA wa Habari unaotarajiwa kupelekwa bungeni kwa ajili ya kujadiliwa, umeelezwa kuwa ni kandamizi na tishio kwa usalama wa nchi.
Muswada huo umepingwa ikiwa ni siku chache baada ya Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT) kuwataka wabunge wasiupitishe kwa sababu hauna maslahi kwa taifa.
Akiwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Waziri Kivuli, Joseph Mbilinyi...

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa habari waondolewa bungeni

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark MwandosyaSERIKALI imeondoa muswada wa Sheria ya Haki ya Upatikanaji Habari wa mwaka 2015, uliokuwa usomwe kwa mara ya pili bungeni na hivyo utasubiri hadi Bunge jipya litakapokaa, baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Mtanzania

Muswada wa habari waondolewa bungeni

agNa Fredy Azzah, Dodoma

HATIMAYE Serikali imekubali kuuondoa muswada wa habari na ule wa vyombo vya habari iliyopangwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura na badala yake itasomwa kwa mara ya kwanza kisha wadau watapata nafasi ya kuijadili.

Ratiba ya awali ilionyesha kuwa Machi 31, mwaka huu Serikali ilitarajiwa kuwasilisha muswada wa Sheria ya kupata Habari wa mwaka 2015 na ule wa Vyombo vya Habari wa mwaka 2015 yote kwa hati ya dharura.

Ratiba iliyotolewa jana ilikuwa haina miswada hiyo,...

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa Vyombo vya Habari mwakani

MUSWADA wa Sheria wa Uendeshaji wa Vyombo vya Habari, umekamilika na utawasilishwa bungeni katika kikao cha Bunge cha Februari mwakani, Bunge limeelezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani