Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISHI KITAA NA RACHEL

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

11 years ago

Michuzi

KITAA WEAR (DUKANI)


 Kama umependa KITAA wear Niibox ili nijue vitu vifuatavyo
1. Namba ya Simu 2. Wapi Ulipo, kama upo Dar utaletewa ulipo ukiishalipia      mkoani tutatuma kwa njia ambayo kwako ni rahisi kukufikia 3. Aina ya T-Shirt , kwenye advert nimeweka number chagua number ya tshirt uliyoipenda 4. Size 5.Price 20,000/=
Payments through Mpesa 0754310202 NB: Ukinunua kuanzia T-Shirt 5 bei ni 18,000/= T-Shs Pia gharama za kutuma mzigo mkoani ni za mteja Dar es salaam napatikana jengo la science na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Acha kulalamika, ishi na watu vizuri — 2

Wiki iliyopita nilisema kwamba mtu anaweza akafanya jambo analoona zuri kwake na wakati huo huo likawa chukizo kwa wengine. Sasa endelea… NI vizuri kuepuka kumsifu mtu isivyostahili kwani ni kumvika...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ishi vizuri kabla, baada ya kustaafu

KUSTAAFU ni tunu ambayo wachache hubahatika kuipata kwa sababu moja kubwa; umri wa kustaafu ni wa uzeeni na wengi hawaufikii.

Kwa kawaida kustaafu huwa ni kati ya umri wa miaka 55 na 60 ambapo Watanzania wengi hawaishi na kufikia miaka hiyo kwa sababu mbalimbali; nyingine zimo ndani ya uwezo wao nyingine nyingi ni kwa kudra ya Mwenyezi Mungu.

Wengi hufariki dunia wakiwa bado ni watumishi iwe serikalini au katika sekta binafsi, wakilijenga taifa.

Naam, kustaafu ni tunu ingawa ni...

 

11 years ago

GPL

MALINZI AZINDUA KAMPENI YA ISHI HURU

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi akizungumza kwenye uzinduzi wa programu ya Ishi Huru jijini Dar es Salaam. Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amezindua programu ya kutoa elimu ya kupambana na matumizi ya dawa za kulevya kwa vijana iitwayo Ishi Huru. Programu hiyo iliyozimduliwa jana (Januari 10 mwaka huu) jijini Dar es Salaam iko chini ya taasisi ya Africa...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Mwanza Dominate Bball Kitaa


Mwanza Dominate Bball Kitaa
AllAfrica.com
Mwanza — MWANZA-BASED Bwiru clobbered Arusha's Njiro 35-33 in the Bball Kitaa tournament over the weekend. Nyakato also thrashed Mbeya's Iyunga 41-28. Nyakato captain Amon Semberya said the tournament is good and tough but their target is to ...

 

11 years ago

Mwananchi

Kumekucha ‘Basketball Kitaa’ leo

>Mashindano ya mchezo wa mpira wa kikapu maarufu kama ‘Basketball Kitaa Chini ya Mataa’ yataendelea leo kwa kuzikutanisha timu ya Next Level dhidi ya A-Talk of Karabani ambapo mshindi ataondoka na Sh2 milioni.

 

10 years ago

GPL

SHOO YA USIKU WA ISHI KISTAA YAFANA DAR

Baadhi ya wasanii wa Bongo Fleva, Rich Mavoko (wa kwanza kutoka kushoto), Linah,Barnaba, Joh Makini wakiwa kwenye pozi na mmoja wa mashabiki wao ndani ya Ukumbi wa Escape One katika shoo ya Usiku wa Ishi Kistaa iliyofanyika usiku wa kuamkia leo. Msanii wa Hip Hop, Izzo Business akisaini kwenye moja ya bango la shoo hiyo muda mfupi baada ya kuwasili mahali hapo.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani