SHOO YA USIKU WA ISHI KISTAA YAFANA DAR
![](http://api.ning.com:80/files/4iGGfOEDayv3rztMsy*fSF4o-C98ePwOrbHeQ*99OGmp90yy8U0BMMDTzxnLOgWpkgYwCKnIzNpI6SKfDzWlYriYW0ad1hNe/1.jpg?width=650)
Baadhi ya wasanii wa Bongo Fleva, Rich Mavoko (wa kwanza kutoka kushoto), Linah,Barnaba, Joh Makini wakiwa kwenye pozi na mmoja wa mashabiki wao ndani ya Ukumbi wa Escape One katika shoo ya Usiku wa Ishi Kistaa iliyofanyika usiku wa kuamkia leo. Msanii wa Hip Hop, Izzo Business akisaini kwenye moja ya bango la shoo hiyo muda mfupi baada ya kuwasili mahali hapo.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sTVlpNgegZw/VXBrEZ5RoII/AAAAAAAHcFo/H-n0YwxhEP8/s72-c/unnamed.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzdpOwsCUUmi9b5MSXlnNsJl4Ku9Bjj8NUS*l92*lzuzib05dyMEKRNkNfEh3WmS*Gj6Gtgy7aZezOlC4vIg3lyw/RichMavokoPR.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vsl-Zk7cJBQ/VVxFJFsmxrI/AAAAAAAHYao/Ekmx6l8wygc/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kaFTv5WyHxs/VQRlx7b5npI/AAAAAAAHKW4/S2qwcXIA10g/s72-c/001.ISHI%2BKISTAA.jpg)
UZINDUZI WA ISHI KISTAA WA VODACOM ULIVYONOGA ESCAPE ONE JIJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-kaFTv5WyHxs/VQRlx7b5npI/AAAAAAAHKW4/S2qwcXIA10g/s1600/001.ISHI%2BKISTAA.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vRWi3e17RGoohiH2d9UHi9kP1zPxR7JOoHEXkUIBbA1NbHDg-6ovcLLEb3kcF8jFOSaNJ8b8m4edNKR*UCCbeNnEhSP76p-g/001.ISHIKISTAA.jpg?width=650)
UZINDUZI WA ISHI KISTAA ULIVYONOGA ESCAPE ONE JIJINI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4bMSDV9MypE/VVzDzOW8rOI/AAAAAAAHYpw/4q-enKdqjnM/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.png)
10 years ago
GPLSIKU YA MSANII YAFANA USIKU WA KUAMKIA LEO MLIMANI CITY, DAR
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Twanga Pepeta wafanya shoo ya nguvu Maisha Club usiku wa kuamkia leo jijini Dar
Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu (wa pili kutoka kulia), akiwa na Kalala Junior (wa pili kutoka kushoto) pamoja na Haji Ramadhani (wa kwanza kulia) wakitoa burudani kwa mashabiki wao kwenye shoo iliyofanyika club ya Maisha jijini Dar
Waimbaji wa Twanga Pepeta wakitoa burudani kwenye shoo iliyofanyika kwenye club ya Maisha jijini Dar usiku wa kuamkia leo.
Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu akicheza moja ya nyimbo zao kwenye...
10 years ago
Dewji Blog22 Mar
Show ya #MBAR2015 Eleganza yafana Dar es Salaam Serena usiku wa kuamkia leo
Meneja Masoko wa CFAO Motors ltd. Sheikha Said (wa pili kulia) akitoa maelezo ya vijarida vya matoleo mapya ya magari aina ya Mercedes Benz kwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (kushoto). Kulia ni Sales Representative wa CFAO Motors Ltd. Edwick Mwamba.
Sales Representative wa Kampuni ya CFAO Motors Ltd. Edwick Mwamba akizungumza jambo na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (kushoto) alipotembelea meza ya Mercedes Benz magari yanayouzwa na kampuni ya CFAO...