Picha: Sio Mdomo tu Hata Mkono Nipo Gado- Wastara
Staa wa Bongo Movies Wastara Juma ame-share nasi picha hizi akiwa gym anafanya mazoezi huku akiandika maneno kuelezea kuwa yupo kwenye maandalizi ya filamu mpya inayofanyika chini ya kampuni ya WAJEY Film Company ambapo atakuja kivingine.
Hii ni mistari aliyondika kwenye picha hizo;
WAJEY Film Company Back Soon, New Project New Style
WAJEY, sio mdomo tu hta mkono upo gado
WAJEY....ila ninawashwa kumchapa mtu kichapo cha mbwa mwizi
Mdau, unautabiri vipi ujio huu wa Wastara kwenye...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies21 Dec
Lulu:Kuwa Mama ni Heshima Sio Kuzeeka, Nipo Njiani
Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa nchini, Elizabeth Michael “LULU” ameamua kufunguka na kusema mtazamo wake kuhusu swala la wasichana kuogopa/kukataa kuzaa kwakuofia kuwa watazeeka.
“Kwa akili Yangu ndogo... Nadhani kuwa Mzazi(Mama)ni heshima kubwa na Sio kuzeeka kama wasichana wengi wanavyofikiria....! Shout Out kwa Kila mwanamke aliyefanikisha kupata Heshima Hiyo...! Heshima kwa Mama wote Duniani ….Wengine Tuko njiani Inshallah”
Lulu aliweka bandiko hilo mtandaoni baada yakuweka...
9 years ago
Bongo504 Nov
No Stress: Nipo vizuri sina tatizo la uzazi — asema Linah na kukanusha kuwa sio mjamzito
![Linah](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Linah-300x194.jpg)
Linah Sanga amekanusha uvumi kuwa ana ujauzito na kuweka taarifa sawa kuhusu afya yake ya uzazi.
Mwimbaji huyo wa ‘No Stress’ amesema kuwa kwasasa anajipanga ndio maana hajaamua kupata mtoto lakini hiyo haimaanishi kuwa ana matatizo yoyote ya uzazi kama baadhi ya watu wanavyohisi.
“Mimi nipo vizuri bhanaa sina tatizo la uzazi ila huwa najipanga ndio maana watu hawajahi kuniona nina ujauzito, lakini kwa sasa najiachia sanaa hivyo muda wowote wanaweza kusikia jambo,” alisema Linah kupitia...
5 years ago
MichuziSIO WANAWAKE TU HATA WANAUME WANAPIGWA WANANYANYASWA -RC MBEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DcM0Qx-e_7Y/XlfNrynPrfI/AAAAAAALfuE/Q_Su79ep_W0SBY7pc6YpcgCY75AFF1FTQCLcBGAsYHQ/s640/1%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ywYgoqY2EoE/VQgfi2RiafI/AAAAAAAAqNA/GHxDr869Lag/s72-c/kakobe1.jpg)
Kakobe :Rose Muhando Sio Mlokole Hata Kidogo Anawakatisha Wanaume Viuno Stejini
![](http://4.bp.blogspot.com/-ywYgoqY2EoE/VQgfi2RiafI/AAAAAAAAqNA/GHxDr869Lag/s640/kakobe1.jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Nape: CCM itashinda tu hata kwa goli la mkono
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Duu!! sio Bongo tu hata Ulaya usaliti upo, baada ya kipigo Mourinho kataja wasaliti wake …
December 14 ni siku ambayo Ligi Kuu ya Uingereza iliendelea tena ambapo moja kati ya mechi zilizochezwa ni ile ya Leicester City dhidi ya Chelsea. Mchezo huo uliyochezwa kwenye uwanja wa King Power ulimalizika kwa Chelsea kufungwa goli 2-1, matokeo yaliyoifanya Chelsea kufikisha jumla ya mechi 9 ilizofungwa katika mechi 16 walizocheza msimu huu. Matokeo […]
The post Duu!! sio Bongo tu hata Ulaya usaliti upo, baada ya kipigo Mourinho kataja wasaliti wake … appeared first on...
11 years ago
Bongo513 Aug
Meninah: Diamond hata kumshika mkono sijawahi, akanusha tetesi za kutoka nae
10 years ago
Bongo529 Aug
Juma Nature: Wanawake wengi waongo, bado nipo nipo sana