Ramadhan: Kanisa moja Ujerumani limefungua milango kwa Waislamu kusali
Hatua mpya za kutokaribiana kuna maanisha kuwa waumini hao hawakuwa na pakuenda hadi pale Wakiriso walipochukua hatua.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRC SINGIDA ATOA FUTARI YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN KWA WAISLAMU
Katibu wa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mbwana Mtingule (kulia) akimkabidhi viazi vitamu Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida, Alhaj Burhan Mlau vilivyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi kwa ajili ya futari ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Waislamu wa mkoa huo leo.
Viazi vya futari vikishushwa kwenye gari.
Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi ya Bakwata Mkoa wa Singida.
Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi...
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Waislamu waanza kufunga Ramadhan
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wUoCGZq2G10/XsEcxWQZ-ZI/AAAAAAAEHPE/H8-aV0HAjAYTb2O2Hs3IyZlGg7M7ZIWgwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-10-768x683.jpg)
Rais Magufuli atoa salamu baada ya kusali Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Chato
![](https://1.bp.blogspot.com/-wUoCGZq2G10/XsEcxWQZ-ZI/AAAAAAAEHPE/H8-aV0HAjAYTb2O2Hs3IyZlGg7M7ZIWgwCLcBGAsYHQ/s640/2-10-768x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4-7-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1-15-1024x913.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/16-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/12-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/7-2-925x1024.jpg)
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Waislamu waaswa kutenda matendo mema hata baada ya Ramadhan
Waumini wa Dini ya Kiislamuwakifuatilia mawaidha.
Na MOblog Team
Waumini wa Kiislamu nchini wamehaswa kuzingatia maadili kwa kufanya matendo mema katika jamii, kwa kipindi chote watakachokuwa kwenye funga ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan na baada ya kuisha kwa mwezi huo.
Akitoa mawaidha hayo jijini Dar es Salaam baada ya kumalizika kwa swala ya Ijumaa wiki ya kwanza ya mfungo mwaka huu, Imam wa Msikiti wa Mtambani Suleiman Abdallah alisema , Uislam ni dini ya amani hivyo ili mja aweze kuwa...
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Kanisa laidhinisha ndoa za jinsia moja
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc6xsvNlwwa-1*LxJ4Ddg8zmVb02nOympBLxf5AS7Fm-ZoqLK7WoQDTdi8*oFqbnT9EatKvW7r*0xlfI42ytkBKP/mashoga.jpg?width=650)
KANISA: NDOA YA JINSIA MOJA RUKSA
10 years ago
GPLRAIS WA UJERUMANI ATEMBELEA KANISA KUU LA KILUTHERI LA AZANIA FRONT JIJINI DAR