Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waislamu waanza kufunga Ramadhan

Waumini wa kiislamu duniani wameanza kutekeleza ibada muhimu ya saumu ya mwezi mtukufu wa Ramadhan

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC SINGIDA ATOA FUTARI YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN KWA WAISLAMU






Katibu wa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mbwana Mtingule (kulia) akimkabidhi viazi vitamu Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida, Alhaj Burhan Mlau vilivyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi kwa ajili ya futari ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Waislamu wa mkoa huo leo.




Viazi vya futari vikishushwa kwenye gari.


Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi ya Bakwata Mkoa wa Singida.



Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waislamu waaswa kutenda matendo mema hata baada ya Ramadhan

DSC01698

Waumini wa Dini ya Kiislamuwakifuatilia mawaidha.

Na MOblog Team

Waumini wa Kiislamu nchini  wamehaswa kuzingatia maadili kwa kufanya matendo mema katika jamii, kwa kipindi chote watakachokuwa kwenye funga ya  Mwezi Mtukufu wa Ramadhan na baada ya kuisha kwa mwezi huo.

Akitoa mawaidha hayo jijini Dar es Salaam  baada ya kumalizika kwa swala ya Ijumaa wiki ya kwanza ya mfungo mwaka huu, Imam wa Msikiti wa Mtambani Suleiman Abdallah alisema , Uislam ni dini ya amani hivyo ili mja aweze kuwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ramadhan: Kanisa moja Ujerumani limefungua milango kwa Waislamu kusali

Hatua mpya za kutokaribiana kuna maanisha kuwa waumini hao hawakuwa na pakuenda hadi pale Wakiriso walipochukua hatua.

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza

magufuli3

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha  ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).

CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.

Kufunga Kampeni

CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo.  Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

Understand Ramadhan



Bismillahi rahman rahim
In the Name of God; the Most Compassionate, the Most Merciful
Asalamualeikum

Why do more than a billion people around the world abstain from eating, drinking, smoking, and sex from dawn to sunset for a one-month period each year? They are Muslims who are fasting during the holy month of Ramadan. Fasting is one of the Five Pillars of the religion of Islam and one of the highest forms of Islamic worship.

Abstinence from earthly pleasures and curbing evil intentions and...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Naswaha za ramadhan

Naswaha za ramadhan

 

5 years ago

The Citizen Daily

Who was Ramadhan Haji Faki?

Who was Ramadhan Haji Faki?  The Citizen Daily

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani