Waislamu waanza kufunga Ramadhan
Waumini wa kiislamu duniani wameanza kutekeleza ibada muhimu ya saumu ya mwezi mtukufu wa Ramadhan
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRC SINGIDA ATOA FUTARI YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN KWA WAISLAMU
Katibu wa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mbwana Mtingule (kulia) akimkabidhi viazi vitamu Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida, Alhaj Burhan Mlau vilivyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi kwa ajili ya futari ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Waislamu wa mkoa huo leo.
Viazi vya futari vikishushwa kwenye gari.
Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi ya Bakwata Mkoa wa Singida.
Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi...
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Waislamu waaswa kutenda matendo mema hata baada ya Ramadhan
Waumini wa Dini ya Kiislamuwakifuatilia mawaidha.
Na MOblog Team
Waumini wa Kiislamu nchini wamehaswa kuzingatia maadili kwa kufanya matendo mema katika jamii, kwa kipindi chote watakachokuwa kwenye funga ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan na baada ya kuisha kwa mwezi huo.
Akitoa mawaidha hayo jijini Dar es Salaam baada ya kumalizika kwa swala ya Ijumaa wiki ya kwanza ya mfungo mwaka huu, Imam wa Msikiti wa Mtambani Suleiman Abdallah alisema , Uislam ni dini ya amani hivyo ili mja aweze kuwa...
5 years ago
BBCSwahili23 May
Ramadhan: Kanisa moja Ujerumani limefungua milango kwa Waislamu kusali
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VQdAdW-pJWs/U69wWMdZuuI/AAAAAAAFtZg/d7_sPXTf130/s72-c/f91dd5a66d1b5da6c01a312657cd9f44.jpg)
10 years ago
Vijimambo16 Jun
Understand Ramadhan
Bismillahi rahman rahim
In the Name of God; the Most Compassionate, the Most Merciful
Asalamualeikum
Why do more than a billion people around the world abstain from eating, drinking, smoking, and sex from dawn to sunset for a one-month period each year? They are Muslims who are fasting during the holy month of Ramadan. Fasting is one of the Five Pillars of the religion of Islam and one of the highest forms of Islamic worship.
Abstinence from earthly pleasures and curbing evil intentions and...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0cNiMjs0YcY/VV34LOBMAgI/AAAAAAAHY5k/YKlMAj0X9h8/s72-c/photo_2015-05-21_18-21-26.jpg)
11 years ago
Michuzi12 Jul
5 years ago
The Citizen Daily30 Mar