Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Who was Ramadhan Haji Faki?

Who was Ramadhan Haji Faki?  The Citizen Daily

The Citizen Daily

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RAIS DK.SHEIN AHUDHURIA MAZIKO YA WAZIRI KIONGOZI MSTAAF RAMADHAN HAJIN FAKI KIJIJI KWAO MKWAJUNI ZANZIBAR



MAKAMANDA wa JWTZ wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa Marehemu Ramadhani Haji Faki wakiingia katika viwanja vya Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjini Unguja kwa ajili ya kuusala na kuuombea duaNDUGU na Jamaa wa Marehemu Ramadhan Haji Faki Waziri Kiongozi Mstaaf wa Zanzibar, wakiwa wamebeba jeneza likiwa na mwili wa marehemu wakiingia katika Masjid...

 

11 years ago

Dewji Blog

Pajero ya Makame Faki ilivyotikisa Ngome Kongwe tamasha la ZIFF

Na  Mwandishi wetu, Zanzibar

WAPENZI wa muziki wa mahadhi ya mwambao wakati wa tamasha la 17 la ZIFF 2014 lililomalizika hivi karibuni walijikuta wanapitiliza usiku wa manane kutokana na kukolea kwa muziki wa kidumbaki uliokuwa ukiporomoshwa na kundi la Sina Chuki, chini ya sauti ya zege Makame Faki.

Wakiwa wanaondoka na nyonga zao kwa taratibu na kwa namna ambavyo inafuatilika, Makame alikoleza na sauti yake na Pajero linanisumbua huku wapenzi wakipiga kelele ya kushangilia.

Muziki huu...

 

10 years ago

Vijimambo

YUSUF FAKI AWASILISHA MICHANGO YA TAMCO YA ZAKATULFITRI KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA ALMADINA DAR

 Mwakilishi wa Tanzania Muslim Council ( TAMCO) Bwn. Yusf Faki akiwa katika picha ya pamoja na mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Amadina Bi.Kuthum Yusuf siku ya Ijumaa July 17, 2015 siku Yusuf Faki alipowasilisha mchango wa Zakatulfitri kwa watoto hao kwa niaba ya TAMCO yenye makao makuu yao DMV. Kituo hicho cha kulelea watoto yatima kilichopo Tandale jijini Dar es Salaam kina watoto 68 wanaolelewa na Bi. Kulthum Yusuf na yeyote atakayeguswa na watoto hao anaweza kuwasilisha...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Naswaha za ramadhan

Naswaha za ramadhan

 

10 years ago

Vijimambo

Understand Ramadhan



Bismillahi rahman rahim
In the Name of God; the Most Compassionate, the Most Merciful
Asalamualeikum

Why do more than a billion people around the world abstain from eating, drinking, smoking, and sex from dawn to sunset for a one-month period each year? They are Muslims who are fasting during the holy month of Ramadan. Fasting is one of the Five Pillars of the religion of Islam and one of the highest forms of Islamic worship.

Abstinence from earthly pleasures and curbing evil intentions and...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Michuzi

RATIBA YA RAMADHAN LEICESTER UK

Assalaamu Alaykum, Jumuia ya Kiislamu ya An Noor ya Leicester Uingereza inapenda kuwatakia Waislamu wote mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Allah akujaalieni nyote afya na nguvu za kutekeleza ibada nyingi zaidi ndani Ya Mwezi huu Adhimu. Pia awape Shufaa ndugu zetu wenye matatizo ya Kiafya na mengineyo. Amin
Jumuia ya An Noor inapenda pia kuwatangazia Waislamu wenzao waishio Leicester Na vitongoji vya karibu kuwa Programu ya Ramadhan InshaaAllah Itaendelea kama kawaida...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani