Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RATIBA YA RAMADHAN LEICESTER UK

Assalaamu Alaykum, Jumuia ya Kiislamu ya An Noor ya Leicester Uingereza inapenda kuwatakia Waislamu wote mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Allah akujaalieni nyote afya na nguvu za kutekeleza ibada nyingi zaidi ndani Ya Mwezi huu Adhimu. Pia awape Shufaa ndugu zetu wenye matatizo ya Kiafya na mengineyo. Amin
Jumuia ya An Noor inapenda pia kuwatangazia Waislamu wenzao waishio Leicester Na vitongoji vya karibu kuwa Programu ya Ramadhan InshaaAllah Itaendelea kama kawaida...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea 2-0 Leicester

Mshambulizi wa Uhispania Diego costa alifunga bao lake la pili katika mechi 2 za EPL

 

10 years ago

BBCSwahili

Pearson: Leicester hawanifukuzi ng'o

Nigel Pearson amesema klabu yaLeicester haina mpango wa kumfukuza pamoja na taarifa zilizo sambamba kuwa atatimuliwa.

 

10 years ago

BBC

Leicester City 2-0 Southampton

Algeria's Riyad Mahrez hits a brace as Leicester beat Southampton to make it six wins from seven and further boost their survival hopes.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaicharaza Leicester 3-1

Liverpool imepata usnindi mnono katika mchezo wake dhidi ya Leicester kwa kuibwaga 3-1

 

9 years ago

BBC

Everton 2-3 Leicester City

Leicester City will be top of the Premier League at Christmas after two Riyad Mahrez penalties help them beat Everton.

 

10 years ago

Michuzi

muhadhara wa kiislamu Leicester,UK

Asalaam aleykum wa Rahmatul Lah, Ndugu zangu katika imani, An Noor Community Centre wakishirikiana na Madrasatul Noor Leicester wana furaha na heshima kubwa ya kukupeni mwaliko wa muhadhara wa kiislamu utakaofanyika kwa utaratibu ufuatao:
Siku: Jumamosi tarehe 27 Septemba 2014Wakati: Kuanzia saa kumi kamili  jioni (4pm). Pahala: Msikiti wa An Noor Leicester, 170a Belgrave Gate, LE1 3XL.Muhadhir: Sheikh Nassor Haroub kutoka London. 
Waislamu wote wa kike na wa kiume mnaombwa...

 

10 years ago

Michuzi

EID KUBWA YA KIHISTORIA LEICESTER


Wanajumuia wa An Noor Leicester pamoja na ndugu na marafiki kutoka ndani ya mji huo na mingine ya Uingereza kama vile London, Leeds na Coventry Jumamosi tarehe 4 Oktoba walijumuika kusherehea sikukuu ya Eid Ul Adh-ha katika Masjid An Noor, Belgrave Gate.Ilikuwa ni sherehe ya kihistoria, ambayo ilianza kwa Takbeer kisha Sala ya Eid, na kufuatiwa na Khutba iliyotolewa na Imamu Mkuu Sheikh Saleh Juma.Kabla ya waumini kukumbatiana na kupongezana, Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Jumuia ya An Noor...

 

9 years ago

Mwananchi

Vardy aiweka Leicester matatani

Jamie Vardy amefanyiwa upasuaji mdogo wa nyonga na anaiweka Leicester katika hali ya hatari ya kumkosa kwa muda uwanjani akianza na mchezo wa FA dhidi ya Tottenham Jumapili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani