Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EID KUBWA YA KIHISTORIA LEICESTER


Wanajumuia wa An Noor Leicester pamoja na ndugu na marafiki kutoka ndani ya mji huo na mingine ya Uingereza kama vile London, Leeds na Coventry Jumamosi tarehe 4 Oktoba walijumuika kusherehea sikukuu ya Eid Ul Adh-ha katika Masjid An Noor, Belgrave Gate.Ilikuwa ni sherehe ya kihistoria, ambayo ilianza kwa Takbeer kisha Sala ya Eid, na kufuatiwa na Khutba iliyotolewa na Imamu Mkuu Sheikh Saleh Juma.Kabla ya waumini kukumbatiana na kupongezana, Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Jumuia ya An Noor...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mwaliko wa SALA YA EID UL ADH-HA Leicester

Assalaamu alaykum wa Rahmatul Laahi wa Barakaatuh

 Jumuia ya An Noor ya Mji wa Leicester, Uingereza, ina furaha kuwatangazia na kuwaalika Waislamu wote kutoka katika mji wa Leicester na vitongoji vyake katika Sherehe za Eid ul Adh-ha kwa Utaratibu huu hapa chini:SIKU:   Jumamosi tarehe 4 Oktoba 2014

PAHALA:         Masjid An Noor Leicester, 170a Belgrave Gate, Leicester LE1 3XL

WAKATI:         Takbeer msikitini zitaanza Saa Tatu Kamili Asubuhi (9.00am)

                    Na Sala ya Eid...

 

10 years ago

Dewji Blog

TIGO yatoa zawadi ya sikukuu ya Eid kwa wakazi wa Mbagala, yafavya tamasha kubwa

5 (1)

Msanii mpya kwenye Game mwanadada Rapa Chemical, akipiga bonge ya shoo iliyowasisimua mashabiki walikuja kuona tamasha la Tigo viwanja vya zakhem Mbagala.

6 (1)

4 (1) (1)

Msanii  wa bongo fleva Amini, akitoa burudani kwenye Tamasha la Tigo la sikukuu ya Eid lililofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala jana.

ipp

Msanii wa bongo fleva Belle 9, akitoa burudani kwenye Tamasha la Tigo la sikukuu ya Eid lililofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala jana.

ipp

 

9 years ago

Vijimambo

WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WAFANYA IBADA KUBWA YA EID EL HAJJ KATIKA VIWANJA VYA BARAFU MIJINI DODOMA

 Ustaadh Yahaya Kiduma akitoa mawadha ya Dini ya Kiislamu katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma wakati wa Swala ya Eid El Haji iliyoandaliwa na kamati ya Sherehe za Dini hiyo mkoani humo.Shekh wa Msikiti wa Nunge Ahmed Zuber akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani mara baada ya kumaliza kuswalisha Swala ya Eid El Haji katika viwanja vya jamhuri mjini Dodoma.  Waumini wa Dini ya Kiislamu wakifanya Ibada ya Eid El Haji katika uwanja wa Jamhuri, ambapo ibada hiyo iliandaliwa na kamati ya...

 

10 years ago

Michuzi

Sheikh Muhammad Eid (Abu Eid) kuzungumza na Waumin Kiislam Coventry,UK ijumaa hii

ASSALAM ALAIKUM WARAHMATUL LWAHI WABARAKAATUH
Coventry Muslim Swahili Association (COMSWA) inayo furaha kuwatangazia kuwa Sheikh mwenye ushawishi mkubwa Tanzania na nje ya Tanzania, Sheikh Muhammad Eid (Abu Eid) yuko nchini Uingereza (United Kingdom) katika ziara ya kida’wa.
Siku ya Ijumaa 13/02/2015 atazungumza na Waumin baada ya swala ya Al jumaa kenye ukumbi wa Al madrasatul Munawarah mjini Coventry kwenye Anuani 88 Paynes Lane, Coventry, CV1 5LJ, UNITED KINGDOM.
Jumamosi tarehe 14/02/2015...

 

9 years ago

Vijimambo

Tangazo la EID EL ADHA’ (EID EL HAJJ)

 
Assalamu Alaykum Wa Rahmatullaahi wa Barakaatuhu Uongozi wa Tanzanian Muslims Community of Washington DC Metro (TAMCO) Una Furaha Kuwakaribisha  WaTanzania Wote katika Sherehe za Eid El Adha’ kuadhimisha Kukamilika kwa Ibada Ya Hajj iliyofanywa na Mahujaji Wetu huko Makkah. Thursday September 24, 2015(in shaa Allah) 1.     Chai ya Asubuhi ya Pamoja, Baada ya Salat El EidKuanzia Saa Nne Asubuhi – Saa Saba Mchana 10AM-1PM & 2.     Sherehe za Eid Jioni  - Picnic (Cook out)Kuanzia Saa Tisa...

 

9 years ago

Mwananchi

Uchaguzi wa kihistoria

Zikiwa zimesalia siku 13 kabla ya Uchaguzi Mkuu, baadhi ya wachambuzi wamesema unaonekana utakuwa wa kihistoria.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni kampeni za kihistoria

KAMA umati wa watu wanaohudhuria mikutano ya kampeni ingekuwa ni kipimo pekee cha ushindi wa Ucha

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea 2-0 Leicester

Mshambulizi wa Uhispania Diego costa alifunga bao lake la pili katika mechi 2 za EPL

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani