EID KUBWA YA KIHISTORIA LEICESTER
![](http://2.bp.blogspot.com/-8SvAzIo_Xw0/VDEjT40FJlI/AAAAAAAGoBg/fzLU6PVQ0l4/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
Wanajumuia wa An Noor Leicester pamoja na ndugu na marafiki kutoka ndani ya mji huo na mingine ya Uingereza kama vile London, Leeds na Coventry Jumamosi tarehe 4 Oktoba walijumuika kusherehea sikukuu ya Eid Ul Adh-ha katika Masjid An Noor, Belgrave Gate.Ilikuwa ni sherehe ya kihistoria, ambayo ilianza kwa Takbeer kisha Sala ya Eid, na kufuatiwa na Khutba iliyotolewa na Imamu Mkuu Sheikh Saleh Juma.Kabla ya waumini kukumbatiana na kupongezana, Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Jumuia ya An Noor...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q5SaaVFTvxc/VCtSHrAzGuI/AAAAAAAGm2Y/wSenrOxGZRs/s72-c/download.jpg)
Mwaliko wa SALA YA EID UL ADH-HA Leicester
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q5SaaVFTvxc/VCtSHrAzGuI/AAAAAAAGm2Y/wSenrOxGZRs/s1600/download.jpg)
11 years ago
Michuzi27 Jul
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
TIGO yatoa zawadi ya sikukuu ya Eid kwa wakazi wa Mbagala, yafavya tamasha kubwa
Msanii mpya kwenye Game mwanadada Rapa Chemical, akipiga bonge ya shoo iliyowasisimua mashabiki walikuja kuona tamasha la Tigo viwanja vya zakhem Mbagala.
Msanii wa bongo fleva Amini, akitoa burudani kwenye Tamasha la Tigo la sikukuu ya Eid lililofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala jana.
Msanii wa bongo fleva Belle 9, akitoa burudani kwenye Tamasha la Tigo la sikukuu ya Eid lililofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala jana.
9 years ago
VijimamboWAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WAFANYA IBADA KUBWA YA EID EL HAJJ KATIKA VIWANJA VYA BARAFU MIJINI DODOMA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IpbZIziOxz8/VNsics6nIjI/AAAAAAAHDBw/XQSpCd8VH7g/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-11%2Bat%2B12.03.09%2BPM.png)
Sheikh Muhammad Eid (Abu Eid) kuzungumza na Waumin Kiislam Coventry,UK ijumaa hii
![](http://2.bp.blogspot.com/-IpbZIziOxz8/VNsics6nIjI/AAAAAAAHDBw/XQSpCd8VH7g/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-11%2Bat%2B12.03.09%2BPM.png)
Coventry Muslim Swahili Association (COMSWA) inayo furaha kuwatangazia kuwa Sheikh mwenye ushawishi mkubwa Tanzania na nje ya Tanzania, Sheikh Muhammad Eid (Abu Eid) yuko nchini Uingereza (United Kingdom) katika ziara ya kida’wa.
Siku ya Ijumaa 13/02/2015 atazungumza na Waumin baada ya swala ya Al jumaa kenye ukumbi wa Al madrasatul Munawarah mjini Coventry kwenye Anuani 88 Paynes Lane, Coventry, CV1 5LJ, UNITED KINGDOM.
Jumamosi tarehe 14/02/2015...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6lUO3CrqGY0/U9FEW9FGv_I/AAAAAAAAEHI/HT5aau2NVJU/s72-c/logo%2Bcopy.jpg)
Tangazo la EID EL ADHA’ (EID EL HAJJ)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6lUO3CrqGY0/U9FEW9FGv_I/AAAAAAAAEHI/HT5aau2NVJU/s640/logo%2Bcopy.jpg)
Assalamu Alaykum Wa Rahmatullaahi wa Barakaatuhu Uongozi wa Tanzanian Muslims Community of Washington DC Metro (TAMCO) Una Furaha Kuwakaribisha WaTanzania Wote katika Sherehe za Eid El Adha’ kuadhimisha Kukamilika kwa Ibada Ya Hajj iliyofanywa na Mahujaji Wetu huko Makkah. Thursday September 24, 2015(in shaa Allah) 1. Chai ya Asubuhi ya Pamoja, Baada ya Salat El EidKuanzia Saa Nne Asubuhi – Saa Saba Mchana 10AM-1PM & 2. Sherehe za Eid Jioni - Picnic (Cook out)Kuanzia Saa Tisa...
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Uchaguzi wa kihistoria
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Ni kampeni za kihistoria
KAMA umati wa watu wanaohudhuria mikutano ya kampeni ingekuwa ni kipimo pekee cha ushindi wa Ucha
Mwandishi Wetu
10 years ago
BBCSwahili23 Aug
Chelsea 2-0 Leicester