UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAFANIKIWA KWA ASILIMIA 98
![](http://3.bp.blogspot.com/-f55gkropSAA/VI8E8pITkAI/AAAAAAAG3ZI/mxKfhy1bv6Y/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mh. Hawa Ghasia akiwaeleza waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam kuhusu mafanikio ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana kote nchini ambapo umefanikiwa kwa asilimia 98%,kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini.
Baadhi ya waandishi wa Habari wakifuatilia mkutano wa Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cCo-wktJOJ8/VIm0-JQ3BNI/AAAAAAAG2jw/kKW-rg2uDC8/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
ASILIMIA 62 WAJIANDIKISHA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-cCo-wktJOJ8/VIm0-JQ3BNI/AAAAAAAG2jw/kKW-rg2uDC8/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Jumla ya Watanzania 11,491,661 sawa na asilimia 62% ya watanzania 18,587,742 ambao walitarajiwa kujiandikisha kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika jumapili ijayo wamejiandikisha kushiriki uchaguzi huo.
Mkurugenzi wa Serikali za Mitaa katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali ...
10 years ago
Habarileo09 Dec
Morogoro wafanikiwa kujenga maabara kwa asilimia 90
WAKATI hukumu ya watendaji walioshindwa kukamilisha ujenzi wa maabara tatu katika kila shule ya sekondari ya Kata nchini ikikaribia kutekelezwa na Rais Jakaya Kikwete baada ya muda uliotolewa kufikia tamati, mkoa wa Morogoro, umesimamia utekelezaji wake kwa kiwango cha asilimia 90.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s72-c/MMGM8382.jpg)
TAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s1600/MMGM8382.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nhubQhZpWwc/U8kYyb0ubPI/AAAAAAAF3Yc/vWolIRDUZ5Q/s1600/MMGM8396.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Dec
Wakurugenzi wasimamishwa kwa kuvurunda uchaguzi serikali za mitaa
SERIKALI imetengua uteuzi wa Wakurugenzi sita wa Halmashauri, na kuwasimamisha kazi wengine watano kupisha uchunguzi, kutokana na kubainika kuchangia kuvurugika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika tarehe 14, mwezi huu.
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
RC Arusha awapongeza wadau kwa kufanikisha uchaguzi serikali za mitaa kwa amani
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Daud Felix Ntibenda akiwa ofisini kwake jijini Arusha.
Na Mahmoud Ahmad, Arusha
MKUU Wa mkoa wa Arusha, Daud Felix Ntibenda (Kijiko), amewapongeza wananchi wa jimbo la Arusha, pamoja na vyombo vya habari na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kufanikisha zoezi la uchaguzi bila ya vurugu wala matukio ya uvunjifu wa Amani .
Mkuu huyo wa mkoa ametoa pongezi hizo leo ofisini kwake alipokuwa akipokea taarifa ya uchaguzi wa marudio wa jiji la Arusha ,uliowasilishwa na...
10 years ago
StarTV17 Dec
Serikali za Mitaa, CCM yajivunia ushindi wa asilimia 84
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Chama cha Mapinduzi CCM kimesema matokeo ya uchaguzi wa Serikali za mitaa yaliyopatikana kwenye maeneo yaliyofanikiwa kufanya uchaguzi huo yanaonyesha chama hicho kushinda kwa asilimia 84.
Matokeo hayo, hayaunganishwi na yale yaliyofutiwa uchaguzi huo.
Wakati chama hicho kikieleza kuridhishwa na matokeo hayo ya ushindi, kwa upande mwingine kinasema kimesikitishwa na mapungufu yaliyojitokeza na kutaka hatua za haraka kuchukuliwa.
Hata hivyo Katibu wa...
10 years ago
GPLADC KUSHIRIKI UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA KWA SHINGO UPANDE
10 years ago
MichuziDKT. MAGUFULI AWAPONGEZA CCM CHATO KWA USHINDI MKUBWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kGmfW1X2Mi4/VJEvOOKhwfI/AAAAAAAAOVE/VgMrIksITGs/s72-c/IMG_8597.jpg)
MHE. HAWA GHASIA ASEMA HAJIUZULU NG'O KUFUATIA KASHFA YA KUVURUGIKA KWA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kGmfW1X2Mi4/VJEvOOKhwfI/AAAAAAAAOVE/VgMrIksITGs/s640/IMG_8597.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RU3LumAILXA/VJEv_lPtkAI/AAAAAAAAOVU/N3cCXNeS1KQ/s640/ghasia.jpg)