Morogoro wafanikiwa kujenga maabara kwa asilimia 90
WAKATI hukumu ya watendaji walioshindwa kukamilisha ujenzi wa maabara tatu katika kila shule ya sekondari ya Kata nchini ikikaribia kutekelezwa na Rais Jakaya Kikwete baada ya muda uliotolewa kufikia tamati, mkoa wa Morogoro, umesimamia utekelezaji wake kwa kiwango cha asilimia 90.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Feb
Kipili yazawadiwa kwa kujenga maabara asilimia 100
SERIKALI wilayani Sikonge mkoa waTabora, imeizawadia kata ya Kipili iliyoko katika wilaya hiyo, cheti maalumu cha ushindi baada ya kuwa ya kwanza wilayani humo kujenga maabara kwa asilimia 100.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f55gkropSAA/VI8E8pITkAI/AAAAAAAG3ZI/mxKfhy1bv6Y/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAFANIKIWA KWA ASILIMIA 98
![](http://3.bp.blogspot.com/-f55gkropSAA/VI8E8pITkAI/AAAAAAAG3ZI/mxKfhy1bv6Y/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JbMfLcd8_10/VI8E8hvI2qI/AAAAAAAG3ZM/vnfyMgwmEDY/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NofDT0p5cxE/XrF6X5-oCRI/AAAAAAAAnbQ/RQL8YqJnOCEp45MTa946rw1Tp794FQiHwCLcBGAsYHQ/s72-c/d1c789fe-573d-484c-af9c-720637eb3995.jpg)
UJENZI WA MAABARA YA KISASA YA UPASUAJI UBONGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 70
![](https://1.bp.blogspot.com/-NofDT0p5cxE/XrF6X5-oCRI/AAAAAAAAnbQ/RQL8YqJnOCEp45MTa946rw1Tp794FQiHwCLcBGAsYHQ/s320/d1c789fe-573d-484c-af9c-720637eb3995.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Dkt Faustine Ndugulile akizungumza jambo wakati alipotembelea Taasisi ya Mifupa MOI nakuangalia chumba cha teleradiolojia kinachotarajiwa kufanyiwa majaribio siku ya ijumaa tarehe 08/05/2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-m19bOCX9w3o/XrF6XHSthtI/AAAAAAAAnbI/L1VB48baMGgf1ySd29OsjMOGZOr-0HSsgCLcBGAsYHQ/s320/085cf922-7005-44e1-a2e2-e4bf59122201.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IEHEw1CII9U/XrF6YaCEMZI/AAAAAAAAnbU/S793HWGynmch6Q77Pe2PsY7A2QbtxMHRgCLcBGAsYHQ/s320/e756932f-0b65-44a0-902d-4850a5b3fd01.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Nov
Tigo kusaidia mpango wa kujenga na kutoa vifaa kwa maabara ya shule za sekondari wilayani Mtwara
Meneja wa Tigo kanda ya kusini, Bw.Daniel Mainoya (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu harambee inayojulikana kama Tigo Mtwara Benefit Gala kwa ajili ya ujenzi wa maabara katika wilaya ya Mtwara, kushoto kwake ni mkuu wa wilaya hiyo,Bw. Wilman Ndile na kulia ni Meneja maendeleo ya bishara kampuni ya 361 Degrees,Hamis Omary.
Tigo Tanzania leo imetangaza kwamba itasaidia kujenga na kuchangia vifaa katika maabara ya shule za sekondari ambazo zimekwisha jengwa wilayani Mtwara....
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Halmashauri ya wilaya ya Morogoro yapunguza maambukizi ya Malaria kwa asilimia nane
Nyumba ya watumishi wa Kituo cha Afya cha Mkuyuni ambayo imefunguliwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Ndugu Juma Khatib Chum ili watumishi hao waweze kuishi karibu na Kituo hicho.
Na Andrew Tangazo Chimesela – Morogoro
Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, imefanikiwa kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa malaria kwa asilimia 8 ukilinganisha na maambukizi ya ugonjwa huo mwaka 2014.
Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Dkt. Mwanahamisi Yahya ambaye ni Kaimu mganga wa kituo cha Afya cha...
10 years ago
Habarileo18 Dec
Pwani ujenzi wa maabara asilimia 80
WILAYA ya Kibaha mkoani Pwani imefikia asilimia 80 ya ujenzi wa maabara kwenye shule za sekondari na inatarajia kukamilisha ujenzi huo mwishoni mwa mwezi huu.
10 years ago
Habarileo10 Dec
Rukwa yafikia asilimia 61 ujenzi wa maabara
WAKATI hukumu ya watendaji walioshindwa kukamilisha ujenzi wa maabara tatu katika kila shule ya sekondari ya Kata nchini ikikaribia kutekelezwa na Rais Jakaya Kikwete baada ya muda uliotolewa kufikia tamati, Mkoa wa Rukwa umetekeleza agizo la Rais kwa asilimia 61.
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Mkandarasi asimamishwa kujenga maabara
KAMPUNI ya UK General Services, imesimamishwa kuendelea na ujenzi wa maabara katika shule ya Sekondari ya Mbugani kutokana na kushindwa kukidhi vigezo. Akizungumza jijini hapa jana, Mjumbe wa Kamati ya...
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Milioni 140 kujenga maabara
ZAIDI ya sh. milioni 140 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa vyumba vya maabara katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete...