Milioni 140 kujenga maabara
ZAIDI ya sh. milioni 140 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa vyumba vya maabara katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gGNjbkJE4Hs/VlRa6su4x9I/AAAAAAAIIN0/cyzbnAEtpn4/s72-c/taa.png)
TAA YATOA MILIONI 10/- KUJENGA MAABARA MONTFORT
![](http://4.bp.blogspot.com/-gGNjbkJE4Hs/VlRa6su4x9I/AAAAAAAIIN0/cyzbnAEtpn4/s320/taa.png)
Ahadi hiyo ilitolewa na Mwanasheria Mkuu wa TAA, Wakili Ramadhan A. Maleta katika mahafali ya kidato cha nne cha shule hiyo iliyo jirani na Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-EblILDr-BYw/VawGCGIqtDI/AAAAAAAASZA/yBtDBEllppI/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
ACACIA YATUMIA MILIONI 400 KUJENGA MAABARA SHINYANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-EblILDr-BYw/VawGCGIqtDI/AAAAAAAASZA/yBtDBEllppI/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n302TlxOmDQ/VawGC3AlPoI/AAAAAAAASZQ/Hv5XyFXRUAk/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8CPOMfMJGM0/VawGDUHrvfI/AAAAAAAASZU/I3ZNt1PnW5g/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
9 years ago
StarTV23 Oct
Tanesco na TIB wasaini mkataba wa dola milioni 140
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesaini mkataba wa dola milioni 140 na Benki ya Uwekezaji Tanzania (TIB) kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa mitambo ya umeme kutoka Somanga Kilwa hadi Kinyerezi Dar es salaam.
Mradi huo utazalisha umeme wa KV400 ambazo zitapunguza tatizo la mgao wa umeme utachukua jumla ya miaka miwili hadi kukamilika kwake .
TANESCO imesema mradi huo utasaidia mpango wa kuongeza umeme katika gridi ya Taifa pamoja na kuimarisha umeme wa uhakika katika maeneo ya Lindi ,...
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Mkandarasi asimamishwa kujenga maabara
KAMPUNI ya UK General Services, imesimamishwa kuendelea na ujenzi wa maabara katika shule ya Sekondari ya Mbugani kutokana na kushindwa kukidhi vigezo. Akizungumza jijini hapa jana, Mjumbe wa Kamati ya...
10 years ago
Habarileo24 Dec
DC: Muda wa kujenga maabara ulikuwa mfupi
MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Saidi Amanzi amesema muda waliokuwa wamepewa awali na Rais Jakaya Kikwete wa kuhakikisha wanajenga maabara katika shule zote za sekondari ulikuwa hautoshi.
10 years ago
Habarileo09 Dec
Morogoro wafanikiwa kujenga maabara kwa asilimia 90
WAKATI hukumu ya watendaji walioshindwa kukamilisha ujenzi wa maabara tatu katika kila shule ya sekondari ya Kata nchini ikikaribia kutekelezwa na Rais Jakaya Kikwete baada ya muda uliotolewa kufikia tamati, mkoa wa Morogoro, umesimamia utekelezaji wake kwa kiwango cha asilimia 90.
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Bawacha wataka fedha za ziara za JK kujenga maabara
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EzItTlhLsWk/VAiGRbCca8I/AAAAAAACqAw/ZGrVIUObOZg/s72-c/unnamed.jpg)
BILIONI 1.3 ZATUMIKA KUJENGA MAABARA ZA SAYANSI NA HOSTELI
![](http://3.bp.blogspot.com/-EzItTlhLsWk/VAiGRbCca8I/AAAAAAACqAw/ZGrVIUObOZg/s1600/unnamed.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenciana Kisaka akizungumza Na Denis Mlowe,Iringa
JUMLA ya sh. bilioni 1.3 zimetumika katika ujenzi wa maabara za sayansi, hosteli za wasichana na chumba cha darasa katika shule za sekondari za Ismani, Nyang’ro na Kalenga zilizoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa mkoani Iringa. Akizungumza na wahabari hivi karibuni ofisini kwake Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Iringa,Pudenciana Kisaka alisema kuwa halmashauri kupitia idara ya...
10 years ago
Habarileo08 Feb
Kipili yazawadiwa kwa kujenga maabara asilimia 100
SERIKALI wilayani Sikonge mkoa waTabora, imeizawadia kata ya Kipili iliyoko katika wilaya hiyo, cheti maalumu cha ushindi baada ya kuwa ya kwanza wilayani humo kujenga maabara kwa asilimia 100.