CCM: Tutashinda uchaguzi ujao kwa asilimia 69
CHAMA cha Mapinduzi CCM kimesema kina uhakika wa kushida kwa asilimia 69 katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxmPpLZiHXmgwLpoWhhl9wv8lUnJMfSqDVZj4DntcBberYZOWWSV-TVSWT1c2xmPMOrJsYmuG1PwA5oahdEUbpp8/MagufulinaKikwete620x309.jpg)
CCM TUTASHINDA UCHAGUZI KWA ASILIMIA 69
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/04/11.jpg)
NAPE: CCM ITASHINDA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 94 UCHAGUZI CHALINZE
9 years ago
Mzalendo Zanzibar12 Sep
Tangazo: Hakuna Ukawa wala Sinia, wakitaka tutashinda, wasitake tutashinda
Naam hili ni tangazo lililotolewa kwa niaba niaba ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar akiwatangazia wana CCM, wapenda amani na wananchi wote kujitokeza kwa wingi katika ufunguzi wa kampeni za CCM, siku ya Jumapili hapo […]
The post Tangazo: Hakuna Ukawa wala Sinia, wakitaka tutashinda, wasitake tutashinda appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Dewji Blog03 Dec
Balozi Seif Ali Idd aweka wazi CCM imejipanga kudhibiti wenye nia ya kuvuruga uchaguzi mkuu ujao
Mlezi wa CCM Mkoa wa Magharibi Balozi Seif akimkabidhi kadi mwanachama Thuwaiba Jeni Pandu akiwa miongoni mwa wanachama wapya wa CCM na Jumuia zake kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Tawi la CCM Pangawe Jimbo la Fuoni.
Na Othman Khamis Ame.
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
Mlezi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Magharibi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi, amewahakikishia wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwamba...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU: OMBEENI TAIFA NA UCHAGUZI MKUU UJAO - Askofu Niwemugizi ataka UKAWA warudi bungeni mwezi ujao, asema siyo ombi
![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s1600/images.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini kote nchini na wananchi waungane pamoja ili kuombea uchaguzi mkuu wa viongozi wakuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Ametoa wito huo leo mchana (Jumanne, Julai mosi, 2014) wakati akizungumza na maelfu ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya Jubilei ya miaka 25 ya Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Tarsicius Ngalalekumtwa katika uwanja wa Kichangani wa Kanisa Kuu la Kihesa.
"Maaskofu...
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Bajeti ya Uchaguzi yaongezeka kwa asilimia 16
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f55gkropSAA/VI8E8pITkAI/AAAAAAAG3ZI/mxKfhy1bv6Y/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAFANIKIWA KWA ASILIMIA 98
![](http://3.bp.blogspot.com/-f55gkropSAA/VI8E8pITkAI/AAAAAAAG3ZI/mxKfhy1bv6Y/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JbMfLcd8_10/VI8E8hvI2qI/AAAAAAAG3ZM/vnfyMgwmEDY/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Uchaguzi Marekani 2020: Trump adaiwa kuomba usaidizi wa rais Xi Jinping kushinda uchaguzi ujao