CCM yajitabiria ushindi asilimia 69.3
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema takwimu zinaonyesha mikutano yote iliyofanywa na mgombea urais wake, Dk. John Magufuli hadi sasa, kinaweza kuibuka na ushindi wa asilimia 69.3.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya chama hicho, January Makamba, alisema takwimu hizo zimetokana na utafiti wa ndani uliofanywa siku kumi zilizopita katika majimbo 246 kati ya 269.
“Utafiti huu ulishirikisha taasisi nyingine...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV17 Dec
Serikali za Mitaa, CCM yajivunia ushindi wa asilimia 84
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Chama cha Mapinduzi CCM kimesema matokeo ya uchaguzi wa Serikali za mitaa yaliyopatikana kwenye maeneo yaliyofanikiwa kufanya uchaguzi huo yanaonyesha chama hicho kushinda kwa asilimia 84.
Matokeo hayo, hayaunganishwi na yale yaliyofutiwa uchaguzi huo.
Wakati chama hicho kikieleza kuridhishwa na matokeo hayo ya ushindi, kwa upande mwingine kinasema kimesikitishwa na mapungufu yaliyojitokeza na kutaka hatua za haraka kuchukuliwa.
Hata hivyo Katibu wa...
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
CCM ZANZIBAR: Yafanya tathmini na kujipima ushindi wa asilimia 60 kwa Dk. Shein!
Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai ambaye ametoa tathmini hiyo mapema jana kwa waandishi wa Habari visiwani humo.
Na Faki Mjaka
[MAELEZO-ZANZIBAR]. Chama cha Mapinduzi CCM kimetoa tathmini yake ya mwelekeo wa Kampeni za Uchaguzi mkuu zinazoelendelea nchini na kudai kuwa Mgombea wake wa Urais Dkt Ali Mohamed Shein anakubalika kwa zaidi ya Asilimia 60 dhidi ya Wagombea wengine.
Akitoa tathmini hiyo mbele ya Wanahabari Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai amesema hatua hiyo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yMfIPcVvhDg/Uu6a6uIFU_I/AAAAAAAFKbo/uDfHsuWUvCs/s72-c/CCM+FLYER_THABIT+KOMBO.jpg)
News alert: CCM yachukua tena Jimbo la Kiembesamaki Yaibuka na Ushindi wa Asilimia 75.1
![](http://1.bp.blogspot.com/-yMfIPcVvhDg/Uu6a6uIFU_I/AAAAAAAFKbo/uDfHsuWUvCs/s1600/CCM+FLYER_THABIT+KOMBO.jpg)
9 years ago
StarTV07 Sep
Mwigulu aeleza matumaini ya ushindi asilimia 80
Mjumbe wa kamati ya kampeni za Chama cha Mapinduzi Mwigulu Nchemba amesema historia ya mgombea Urais kupitia chama hicho Dokta John Magufuli kutokabiliwa na kashfa ya rushwa na ufisafi ndiyo sababu inayotoa matumaini ya CCM kushinda kwa asilimia 80 katika uchaguzi mkuu ujao.
Akizungumza kwenye Ufunguzi wa Kampeni za Ubunge Jimbo la Kibiti Mkoani Pwani, Mwigulu amesema CCM inajivunia sifa ya Uadilifu, Uchapakazi na Usafi alionao Mgombea wao ambayo inafanya Uchaguzi kwao kuwa rahisi,
Amesema...
9 years ago
CCM Blog![](http://img.youtube.com/vi/0T4D_Wnu0fQ/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxmPpLZiHXmgwLpoWhhl9wv8lUnJMfSqDVZj4DntcBberYZOWWSV-TVSWT1c2xmPMOrJsYmuG1PwA5oahdEUbpp8/MagufulinaKikwete620x309.jpg)
CCM TUTASHINDA UCHAGUZI KWA ASILIMIA 69
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Nape: CCM haijakamilika asilimia 100
9 years ago
Mwananchi16 Sep
CCM: Tutashinda uchaguzi ujao kwa asilimia 69
9 years ago
Mwananchi29 Sep
CCM: Dk Shein anaongoza kwa zaidi ya asilimia 60