Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwigulu aeleza matumaini ya ushindi asilimia 80

Mjumbe wa kamati ya kampeni za Chama cha Mapinduzi Mwigulu Nchemba amesema historia ya mgombea Urais kupitia chama hicho Dokta John Magufuli kutokabiliwa na kashfa ya rushwa na ufisafi ndiyo sababu inayotoa matumaini ya CCM kushinda kwa asilimia 80 katika uchaguzi mkuu ujao.

Akizungumza kwenye Ufunguzi wa Kampeni za Ubunge Jimbo la Kibiti Mkoani Pwani, Mwigulu amesema CCM inajivunia sifa ya Uadilifu, Uchapakazi na Usafi alionao Mgombea wao ambayo inafanya Uchaguzi kwao kuwa rahisi,

Amesema...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

CCM yajitabiria ushindi asilimia 69.3

Pg 3NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema takwimu zinaonyesha mikutano yote iliyofanywa na mgombea urais wake, Dk. John Magufuli hadi sasa, kinaweza kuibuka na ushindi wa asilimia 69.3.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya chama hicho, January Makamba, alisema takwimu hizo zimetokana na utafiti wa ndani uliofanywa siku kumi zilizopita katika majimbo 246 kati ya 269.

“Utafiti huu ulishirikisha taasisi nyingine...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga ina matumaini ya ushindi

Kocha mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema wana ari ya kushinda mechi yao ya mwishoni mwa wiki hii dhidi ya Etoile du Sahel .

 

10 years ago

Habarileo

Ngeleja aeleza siri ya ushindi wake Sengerema

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja aliyeibuka na ushindi wa kishindo katika kura za maoni dhidi ya wagombea wenzake akiwamo aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, amesema ushindi wake ni kielelezo kuwa ametekeleza vizuri Ilani ya Uchaguzi ya CCM kuanzia mwaka 2010.

 

10 years ago

StarTV

CHAUMA chaeleza matumaini ya kupata ushindi

 

Zikiwa zimebaki siku 29 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi cha Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA Hashim Rungwe ametoa tathimini yake juu ya mwenendo wa kampeni pamoja na matumaini yake katika kupata ushindi.

Rugwe amesema ingawa ziko changamoto zinazojitokeza lakini kwa ujumla kampeni zinakwenda vizuri na ana matumaini makubwa ya kuingia Ikulu kutokana na watanzania kuhitaji mabadiliko.

 

Akiwa Singida ambao ni mkoa wa 10 katika mwendelezo wa ziara...

 

10 years ago

StarTV

Serikali za Mitaa, CCM yajivunia ushindi wa asilimia 84

Na Lilian Mtono,

Dar es Salaam.

 

Chama cha Mapinduzi CCM kimesema matokeo ya uchaguzi wa Serikali za mitaa yaliyopatikana kwenye maeneo yaliyofanikiwa kufanya uchaguzi huo yanaonyesha chama hicho kushinda kwa asilimia 84.

Matokeo hayo, hayaunganishwi na yale yaliyofutiwa uchaguzi huo.

Wakati chama hicho kikieleza kuridhishwa na matokeo hayo ya ushindi, kwa upande mwingine kinasema kimesikitishwa na mapungufu yaliyojitokeza na kutaka hatua za haraka kuchukuliwa.

Hata hivyo Katibu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA LULU KAYAGE APAA AFRIKA YA KUSINI NA MATUMAINI YA USHINDI

Mdau wa mchezo wa ngumi nchini Hamissi Berege kushoto akizungumza na George Sabuni ambaye anambatana na bondia lulu Kayage kulia kwenda kwenye mpambano wake mwingine utakaofanyika agous 28 Afrika ya kusini picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi WetuBONDIA wa Kike Lulu Kayage amenda tena nchini Afrika ya kusini kwa ajili ya mpambano wake mwingine na bondia mwingine kutoka uko utakaofanyika agost 28 nchini Afrika ya kusini
akiongea kabla ya kupanda ndege bondia huyo alijingamba kuwa ataenda...

 

10 years ago

Dewji Blog

CCM ZANZIBAR: Yafanya tathmini na kujipima ushindi wa asilimia 60 kwa Dk. Shein!

VUAINaibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai ambaye ametoa  tathmini hiyo mapema jana  kwa waandishi wa Habari visiwani humo.

Na Faki Mjaka

[MAELEZO-ZANZIBAR]. Chama cha Mapinduzi CCM kimetoa tathmini yake ya mwelekeo wa Kampeni za Uchaguzi mkuu zinazoelendelea nchini na kudai kuwa Mgombea wake wa Urais Dkt Ali Mohamed Shein anakubalika kwa zaidi ya Asilimia 60 dhidi ya Wagombea wengine.

Akitoa tathmini hiyo mbele ya Wanahabari Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai amesema hatua hiyo...

 

11 years ago

Michuzi

News alert: CCM yachukua tena Jimbo la Kiembesamaki Yaibuka na Ushindi wa Asilimia 75.1

Mgombea wa Chama cha Mapinduzi katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo ameibuka Kidedea kwa ushindi alioupata katika uchaguzi huo mdogo wa Jimbo hilo baada ya kukaa wazi kwa muda mrefu kutokana na kutenguliwa kwa aliyekuwa Mwakilishi wa jimbo hilo Mhe. Mansoor Yussuf Himid.   Akitangaza matokea hayo ya Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki yalioshirikisha Vyama Sita vya Siasa vilivyosimamisha wagombea wake. Msimamizi wa Uchaguzi Ndg. Suluhu akitoa...

 

10 years ago

Vijimambo

HIVI NDIVYO MWIGULU NCHEMBA ALIVYOTUA MBULU HII LEO,NI OPARESHENI "UMOJA NI USHINDI"


Mwigulu akisisitiza jambo kuhusu hujuma dhidi ya Dawa za Hospitali za Serikali zinavyotafunwa na Wachache ili hali wananchi wanahali ngumu.Mwigulu Nchemba akizungumza na Umati wa wakazi wa Mbulu waliofika Mchana waleo kwenye mkutano wa hadhara viwanja vya Mpira mbulu kusikiliza sera za Chama cha Mapinduzi kuelekea Uchaguzi wa serikali za Mitaa.CCM Oyeeeeeeeeeee!!!!Mh:Mwigulu nchemba akisalimiana na Wananchi wa Mbulu Mjini hii leo alipokutana nao kwenye Mkutano wa hadhara wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani