Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga ina matumaini ya ushindi

Kocha mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema wana ari ya kushinda mechi yao ya mwishoni mwa wiki hii dhidi ya Etoile du Sahel .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Yanga ina matumaini kombe la shirikisho.

Klabu ya Yanga Tanzania imesema ina inamatumaini ya kusonga mbele kwenye michuano ya soka kombe la Shirikisho Barani Afrika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Australia yasema ina matumaini MH370 itapatikana

Maafisa nchini Australia wamesema wanaamini wanasaka mabaki ya ndege ya shirika la Malaysia Airlines nambari MH370 iliyotoweka mwaka jana pahali sahihi.

 

9 years ago

StarTV

Mwigulu aeleza matumaini ya ushindi asilimia 80

Mjumbe wa kamati ya kampeni za Chama cha Mapinduzi Mwigulu Nchemba amesema historia ya mgombea Urais kupitia chama hicho Dokta John Magufuli kutokabiliwa na kashfa ya rushwa na ufisafi ndiyo sababu inayotoa matumaini ya CCM kushinda kwa asilimia 80 katika uchaguzi mkuu ujao.

Akizungumza kwenye Ufunguzi wa Kampeni za Ubunge Jimbo la Kibiti Mkoani Pwani, Mwigulu amesema CCM inajivunia sifa ya Uadilifu, Uchapakazi na Usafi alionao Mgombea wao ambayo inafanya Uchaguzi kwao kuwa rahisi,

Amesema...

 

9 years ago

StarTV

CHAUMA chaeleza matumaini ya kupata ushindi

 

Zikiwa zimebaki siku 29 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi cha Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA Hashim Rungwe ametoa tathimini yake juu ya mwenendo wa kampeni pamoja na matumaini yake katika kupata ushindi.

Rugwe amesema ingawa ziko changamoto zinazojitokeza lakini kwa ujumla kampeni zinakwenda vizuri na ana matumaini makubwa ya kuingia Ikulu kutokana na watanzania kuhitaji mabadiliko.

 

Akiwa Singida ambao ni mkoa wa 10 katika mwendelezo wa ziara...

 

9 years ago

Vijimambo

BONDIA LULU KAYAGE APAA AFRIKA YA KUSINI NA MATUMAINI YA USHINDI

Mdau wa mchezo wa ngumi nchini Hamissi Berege kushoto akizungumza na George Sabuni ambaye anambatana na bondia lulu Kayage kulia kwenda kwenye mpambano wake mwingine utakaofanyika agous 28 Afrika ya kusini picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi WetuBONDIA wa Kike Lulu Kayage amenda tena nchini Afrika ya kusini kwa ajili ya mpambano wake mwingine na bondia mwingine kutoka uko utakaofanyika agost 28 nchini Afrika ya kusini
akiongea kabla ya kupanda ndege bondia huyo alijingamba kuwa ataenda...

 

9 years ago

Mwananchi

Eti Yanga ina mashabiki 35 milioni!

Ukibisha jeuri! Eti Yanga, sasa ina mashabiki wanaofikia milioni 35 kati ya Watanzania milioni 44 kwa mujibu wa kauli ya mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuf Manji.

 

9 years ago

Vijimambo

HII NDIYO YANGA SC INA KIKOSI BORA ‘KILICHOSHIBA’


Mlinzi wa kati wa Yanga Vicent Bosou ambaye amecheza kwa dakika zote 90 kwa mara ya kwanza wakati Yanga ikicheza dhidi ya Toto Africans 
Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam
Licha ya wachezaji wake kuendelea kuendelea kukosa kujiamini wapatapo ‘mkwaju wa penati’, washambuaji wa Yanga SC ameendelea kufunga magoli ya kutosha na kujikita katika kilele cha msimamo. Mlinzi wa kulia, Juma Abdul alifunga goli ‘maridadi’ la mkwaju wa mita zisizopungua 23 mapema dakika ya 9’ wakati Yanga ikicheza na...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mbinu za Yanga zimenipa ushindi’

Wakati kikosi cha Simba kikipewa mapumziko ya wiki mbili, kocha mkuu, Patrick Phiri ameeleza kuwa mfumo wa 4-5-1 alioutumia kwenye mechi na Yanga ndiyo umempa ushindi wa kwanza msimu huu kwenye Uwanja wa Taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

MALENGO AFRIKA: Makocha Yanga, Azam wajipa matumaini

>Makocha wa Yanga na Azam wamebeba matumaini makubwa kuelekea mechi zao za kimataifa mwishoni mwa wiki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani