Eti Yanga ina mashabiki 35 milioni!
Ukibisha jeuri! Eti Yanga, sasa ina mashabiki wanaofikia milioni 35 kati ya Watanzania milioni 44 kwa mujibu wa kauli ya mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuf Manji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-spDM_WORaWo/VEE9H0FwlHI/AAAAAAAGrX8/0EJ4bMvkELk/s72-c/Simba-vs-Yanga.-.jpg)
kuelekea mtanange wa Simba na Yanga, mashabiki milioni 20 matumbo joto
![](http://1.bp.blogspot.com/-spDM_WORaWo/VEE9H0FwlHI/AAAAAAAGrX8/0EJ4bMvkELk/s1600/Simba-vs-Yanga.-.jpg)
Hakuna takwimu sahihi za mashabiki wa klabu kongwe nchini za Simba na Yanga ni wangapi, lakini si chini ya watu milioni 20, akili zao zitasimama kwa takriban dk 90 na kupata kiwewe cha huzuni au furaha wakati miamba hiyo itakapovaana hapo kesho Taifa.
Joto la mechi hiyo tayari limepanda Zaidi ya nyuzi 90 huku kukiwa na hisia tofauti zikiwemo za udanganyifu wa wachezaji kuwa majeruhi ili kuteka akili za wapinzani.
Tayari kuna taarifa Yanga itawakosa wachezaji wake muhimu akiwemo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPzaN68lS6g0VTdiJxn3PBr1*RrsY*F*5OT9bBAh62EDaVT*l6xkmm9EgvGFoPSldgEBNKpd4F8ztbcMHh1BOyTU/mahaba.jpg?width=650)
ETI WANANDOA, MBONA KILA MTU SIMU YAKE INA PASSWORD?
9 years ago
Bongo521 Oct
Apple Music ina watumiaji milioni 15 — CEO
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Pluijm eti anataka soka la Wenger Yanga
Arsene Wenger
Na Sweetbert Lukonge
KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amekubali yaishe kwa kusema sasa anataka mabao tu na haina haja kupiga pasi nyingi wakati timu inataka ushindi, naye Hans van Der Pluijm wa Yanga ameiga.
Wakati Wenger akitamka maneno hayo katikati ya wiki hii, Pluijm raia wa Uholanzi anayeinoa Yanga amesema maneno hayo jana Ijumaa wakati timu yake ilipofanya mazoezi ya mwisho kabla ya leo kuivaa Mbeya City.
Hans van Der Pluijm wa Yanga.
Akizungumza na Championi Jumamosi,...
9 years ago
Bongo528 Sep
Instagram sasa ina watumiaji (active) zaidi ya milioni 400
10 years ago
BBCSwahili01 May
Yanga ina matumaini ya ushindi
10 years ago
Bongo Movies19 Sep
Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka
Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!
Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Yanga ina matumaini kombe la shirikisho.