BONDIA LULU KAYAGE APAA AFRIKA YA KUSINI NA MATUMAINI YA USHINDI
Mdau wa mchezo wa ngumi nchini Hamissi Berege kushoto akizungumza na George Sabuni ambaye anambatana na bondia lulu Kayage kulia kwenda kwenye mpambano wake mwingine utakaofanyika agous 28 Afrika ya kusini picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi WetuBONDIA wa Kike Lulu Kayage amenda tena nchini Afrika ya kusini kwa ajili ya mpambano wake mwingine na bondia mwingine kutoka uko utakaofanyika agost 28 nchini Afrika ya kusini
akiongea kabla ya kupanda ndege bondia huyo alijingamba kuwa ataenda...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bCEqpo_viQ8/Vcg8LNJ-c4I/AAAAAAAAHO4/SincSwWdvuo/s72-c/11822353_922900184422792_8034616550061091264_n.jpg)
BONDIA LULU KAYAGE AIBUKA KIDEDEA AFRIKA YA KUSINI
10 years ago
MichuziMABONDIA RAMA SHAURI NA LULU KAYAGE WAPAA AFRIKA YA KUSINI
9 years ago
Habarileo24 Oct
Bondia Lulu Kayage ajipanga kivingine
BONDIA Lulu Kayage, ameingia kambini kujiandaa na mchezo wake dhidi ya bondia Mwanne Haji utakaofanyika Uwanja wa Jamhuri Morogoro, Desemba 25 mwaka huu.
10 years ago
VijimamboSUPER D AZAWADIA BONDIA LULU KAYAGE VIFAA
10 years ago
VijimamboBONDIA WA KIKE LULU KAYAGE ALIVYO MSAMBALATISHA MWANNE HAJI
9 years ago
MichuziBONDIA LULU KAYAGE AJIFUA KWA AJILI YA MAPAMBANO YA KITAIFA NA KIMATAIFA
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Lulu Kayage, Mariam kuzichapa Krismasi
BONDIA Lulu Kayage yupo kwenye maandalizi makali kuelekea pambano lake la Desemba 25 dhidi ya Mariam Abdallah litakalopigwa katika ukumbi wa Hoteli ya Friends Corner, Magomeni jijini Dar es Salaam....
11 years ago
Michuzi06 Aug
BONDIA KHALID CHOKORAA AJIANDAA NA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI AGOSTI 8