Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makamba: Enzi za ushindi wa kishindo CCM zimepita

Siku chache baada ya matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuonyesha kuwa CCM, imeporomoka, Mbunge wa Bumbuli, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amewataka wanachama wa chama hicho kujiandaa kisaikolojia kwa matokeo yoyote yanayoweza kutokea katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wana CCM wahimizana ushindi wa kishindo

NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai amewataka wanachama wa chama hicho kujiandaa na hatimaye kujitokeza kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu wa marudio, ili kukiletea ushindi wa kishindo chama hicho.

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA UCHAGUZI JIMBO LA KALENGA,CCM YAJIDHATITI KWA USHINDI WA KISHINDO

Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Wilayani Mufindi,Ndugu Miraji Mtaturu akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya chama hicho,Ndugu Godfrey Mgimwa mapema leo jioni mbele ya wanakijji cha Mfukulembe,(hawapo pichani),kata ya Ifunda,Iringa vijijini mkoani humo. Mgombea Ubunge Jimbo la Kaleta (CCM),Ndugu Godfrey Mgimwa akiwahutubia wakazi wa Kijiji cha Mabikimitali,kata ya Ifunda katika jimbo hilo,mkoani Iringa leo jioni.Godfrey amewaomba wananchi hao kumuamini na kumpa...

 

10 years ago

Michuzi

MAGUFULI AWASHUKURU WANA CCM WA MTWARA KWA KUMDHAMINI,WAMUHAKIKISHIA USHINDI WA KISHINDO

  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasalimia wanachama na wafuasi wa CCM mkoa wa Mtwara waliojitokeza kwa wingi kumpokea,Dkt Magufuli aliwashukuru wanachama hao kwa kujitokeza kwa wingi na walimuahakikishia ushindi wa kishindo na wa mapema katika uchaguzi mkuu utakaofanyika hapo baadae mwaka huu,pia amewata kuwa na umoja wa kushirikiana na kuweka kando tofauti zao kuhakikisha wanailetea CCM ushindi wa kishindo. Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini Husnain Murji akiwahutubia...

 

9 years ago

Vijimambo

CCM YATIKISA MUSOMA MJINI,MAGUFULI AENDELEA KUJIHAKIKISHIA USHINDI WA KISHINDO KWA ZAIDI YA MIKOA 8

Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi Mh.Jonh Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Musoma Mjini jioni ya leo wakati wa Mkutano wa Kampeni za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Magufuli amesisitiza/ameomba wananchi wa Musoma kuchagua wagombea wa Chama cha Mapinduzi kwasababu ndicho chama chenye Ilani Bora na yeye amejipanga kuhakikisha anatatua kero zinazowakabili Wananchi wote wa Tanzania bila kubagua.Sehemu ya Maelfu ya wananchi wakifuatilia Mkutano wa kampeni wa Chama cha...

 

9 years ago

Michuzi

CCM YARUSHA JESHI LA ANGA, MWIGULU AONGOZA KIKOSI...WAIMARISHA USHINDI WA KISHINDO MAJIMBO YA NZEGA

Chama Cha Mapinduzi hii leo kimerusha Helikopta yake ya kwanza inayozunguka kwenye kila pembe ya nchi kuhakikisha CCM inashinda kwa kishindo Uchaguzi Mkuu kwenye nafasi zote za Udiwani,Ubunge na Urais. Kazi ya kupasua anga hilo linaongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Ushindi Field Marshall  Mwigulu Nchemba ambaye katika Jimbo lake la Iramba kwa asilimia 98 amejihakikishia Ushindi wa kishindo. 
 Makada imara wa CCM  Field Marshall Mwigulu Nchemba na Dkt. Hamis Kigwangalla waki-Magufulika kuonesha...

 

9 years ago

Vijimambo

TASWIRA,CCM YARUSHA JESHI LA ANGA,MWIGULU AONGOZA KIKOSI...WAIMARISHA USHINDI WA KISHINDO MAJIMBO YA NZEGA HII LEO

Chama Cha Mapinduzi hii leo kimerusha Helcopta yake ya kwanza kwenye kila pembe ya Nchi kuhakikisha CCM inashinda kwa kishindo Uchaguzi Mkuu kwenye nafasi zote za Udiwani,Ubunge na Urais.Kazi ya kupasua anga hilo linaongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Ushindi Ndg.Mwigulu Nchemba ambaye katika Jimbo lake la Iramba kwa asilimia 98 amejihakikishia Ushindi wa kishindo hapo Tar.25.10.2015Mwigulu Nchemba ambaye ni Mjumbe wa kamati ya CCM ya Ushindi na Mgombea Ubunge Jimbo la Nzega Vijijini...

 

10 years ago

Michuzi

MENEJIMENTI YA OFISI YA MKUU WA MKOA WA RUKWA YAMPONGEZA MKUU WA MKOA HUO ENG. STELLA MANYANYA KWA USHINDI WA KISHINDO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA MBINGA MAGHARIBI

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa ambaye pia ni Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Watu Ndugu Erasmus Rugarabamu kwa niaba ya Menejimenti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa akitoa pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya ambaye pia ni Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma kwa ushindi mnono alioupata katika kura za maoni za Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kutafuta mgombea wa ubunge Jimbo la Mbinga Magharibi. Eng. Manyanya alishinda kwa kura 13,276 ambapo mshindi wa ...

 

10 years ago

Habarileo

Shein aahidi ushindi wa kishindo Zanzibar

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.MGOMBEA Urais wa CCM kwa Tanzania Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Dk Ali Mohammed Shein amesema anao uwezo wa kukipatia chama chake ushindi wa kishindo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani