Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simulizi ya maisha ya malezi ya watoto mapacha wanne

Je ni vipi unaweza kuwalea mapacha wanne?. Mama Dirvina Joseph Mwanamke kutoka Kenya alijifungua anatushirikisha jinsi anavyowashughulikia watoto wake wanne wenye umri wa miaka 3

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO AENDELEA VIZURI AOMBA MSAADA

Mapacha wanne wa Aida Nakawala. Aida Nakawala 25 mkazi wa kijiji cha Chiwanda Wilaya ya Momba Mkoa wa Mbeya, hivi karibuni alijifungua watoto wanne  mapacha kwa mkupuo(Quadliplets) katika usiku wa kuamkia Mwaka mpya anaendelea vizuri.…

 

11 years ago

Michuzi

msamaria mwema wa uingereza atuma misaada kwa mzazi wa mapacha wanne wa mbeya

Misaada ya hali na mali imeanza kumiminika kwa ajili ya Aida Nakawala (25) mkaazi wa kijiji cha Chiwanda, Wilaya ya Momba, Mkoa wa Mbeya, ambaye alijifungua watoto wanne mapacha kwa mkupuo (Quadruplets) usiku wa kuamkia Mwaka mpya wa 2014 katika Hospitali ya Wazazi ya META jijini Mbeya.   Msamaria mwema wa Uingereza, Bi Gladness Sariah, ametuma maboksi mawili yenye nguo na vitu kadhaa vya watoto, ambavyo vimewasili salama katika ofisi za Michuzi Media Group (MMG) inayoendesha Globu ya...

 

11 years ago

Michuzi

News Alert: misaada kwa yatima pamoja na ya mapacha wanne yawasili salama mbeya

Aida Nakawala (25) mkazi wa kijiji cha Chiwanda, Wilaya ya Momba, Mkoa wa Mbeya, ambaye alijifungua watoto wanne kwa mkupuo (Quadruplets) usiku wa kuamkia Mwaka mpya wa 2014 katika Hospitali ya Wazazi ya META jijini Mbeya.
Misaada  toka kwa  Bi Gladness Sariah wa Uingereza,  Dar es salaam kwa Norah SilverBoutique  Joseph Mwaisango wa Mbeya yetu akiwakilisha msaada toka kwa familia ya mama Masawe wa DSM kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha NURU kilichopo Uyole Mbeya



Kituo cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunu asisitiza malezi bora ya watoto

Mke wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda ametoa wito kwa wazazi kusimamia malezi katika ngazi ya familia kwani hiyo ndiyo njia pekee ya kuandaa Taifa lenye amani na utulivu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto watakiwa kupata malezi ya akina baba

SHIRIKA la Save the Children kwa kushirikiana na Umoja wa nchi za Ulaya (EU) wamezindua kampeni ya Baba bora ambayo inahamasisha wanaume kushiriki malezi ya mtoto na sio kuonekana malezi...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wazazi zingatieni malezi bora kwa watoto’

Jamii imeshauriwa kujenga utamaduni wa kuzingatia malezi bora kwa watoto ili kujenga Taifa lenye maadili kwa kizazi cha sasa na kijacho.

 

11 years ago

Mwananchi

Wazazi vijana, wanahitaji mafunzo ya malezi ya watoto

Watu wanapooana wanatarajia kupata watoto. Pale wanapokosekana inakuwa ni majonzi makubwa kwa wanandoa hao. Ni ukweli kwamba watoto ni majaliwa Kutoka kwa Mungu, lakini kila mtu angependa ajaliwe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani