Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwaka 1 tangu wanafunzi 43 kutoweka Mexico

Maandamano yamefanyika Mexico kuishinikiza serikali kutoa ukweli kuhusiana na kutoweka kwa wanafunzi 43

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MEXICO YAADHIMISHA MWAKA 1 TANGU WANAFUNZI 43 KUTOWEKA

Maelfu ya watu wakiwa kwenye maandamano kuishinikiza serikali kutoa ukweli kuhusu vifo vya wanafunzi 43. Mwaka mmoja uliopita, wanafunzi 43 walipotea katika mji wa Iguala katika jimbo la Guerrero, kusini mwa Mexican.
Maelfu ya watu wanashiriki katika maandamano makubwa katika mji mkuu wa Mexico kuadhimisho mwaka mmoja tangu kutoweka kwa wanafunzi hao. Maandamano yakiendelea. Uchunguzi wa serikali ulidai kuwa, wanafunzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi 40 Mexico wapotea

Wanafunzi Mexico katika jimbo la Guerrero wameandamana katika mji mkuu wa jimbo la Chilpancingo kulalamikia kutoweka kwa wanafunzi wenzao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Genge lakiri kuwaua wanafunzi 40 Mexico

Mkuu wa sheria nchini Mexico anasema kuwa genge moja la wahalifu limekiri kuwaua zaidi ya wanafunzi 40 ambao waliotoweka

 

10 years ago

BBCSwahili

Kupotea wanafunzi Mexico: Meya atafutwa

Mwendesha mashtaka mkuu wa serikali ya Mexico ameamuru kukamtwa kwa Meya wa Iguala.

 

10 years ago

BBCSwahili

Haki itatendeka kwa wanafunzi:43 Mexico

Mwanasheria mkuu Mexico, Jesus Murillo Karam,aahidi haki itatendeka katika kesi ya kupotea wanafunzi 43 miezi miwili iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwaka 1 tangu miraa ipigwe Maruku Ulaya

Ni mwaka mmoja tangu serikali ya Uingereza na mataifa ya ulaya kupiga marufuku uuzaji na utumiaji wa miraa.Wakulima wa zao hilo Kenya walalama

 

9 years ago

Michuzi

HAFLA YA JUMUIYA YA WANAFUNZI WA TANZANIA WUHAN-CHINA (WUTASA) KUWAKARIBISHA WANAFUNZI WAPYA MWAKA WA MASOMO 2015/16

1Picha ya pamoja ya wanafunzi wapya na wazamani. Walioketi mbele kutoka kushoto ni viongozi wa Wutasa, Gelas Rubakula (Naibu Katibu), Ally Salum (Katibu), Rajab Jafar (Makamu Mwenyekiti), Abel Masanja (Mwenyekiti) na Thomas Mtaki (Mwenyekiti Mstaafu).2Picha ya pamoja ya wanafunzi wapya. Walioketi mbele kutoka kushoto ni viongozi wa Wutasa, Gelas Rubakula (Naibu Katibu), Ally Salum (Katibu), Rajab Jafar (Makamu Mwenyekiti), Abel Masanja (Mwenyekiti) na Thomas Mtaki (Mwenyekiti Mstaafu).3

 

11 years ago

CloudsFM

LANGA ATIMIZA MWAKA MMOJA TANGU AFARIKI DUNIA

Tarehe kama ya leo mwaka jana,msanii wa Hip Hop, Langa Lileo, rais wa gheto mida ya jioni alitangazwa kuwa amefariki dunia, kwa mujibu wa ripoti ya hospitali msanii huyo alikuwa anasumbuliwa na malaria kali, alilazwa siku moja katika hospitali ya taifa Muhimbili siku ya pili yake ndiyo akafariki. Safari ya Langa kimuziki ilianzia kwenye shindano la kusaka vipaji la Coca-Cola Pop Stars mwaka 2004, na wakapatikana washindi watatu wakaunda kundi la Wakilisha alikuwemo Langa, Shaa, na Witness,...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Juma Nature: Pombe nimeacha tangu mwaka jana

KAMA kawaida ya safu hii inakuletea maisha ya watu mbalimbali maarufu kuona wanaishi vipi katika maisha yao ya kawaida. Leo tunaye mwanamuziki  mkongwe  wa Bongo Fleva  na kiongozi  wa kundi la Wanaume Halisi, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature.

Juma Nature ni miongoni mwa wanamuziki wachache walioweza kudumu katika  Bongo Fleva kwa muda mrefu  na kuwa na mashabiki wengi ndani na nje ya Tanzania.

Mwanamuziki huyo alikuja na mtindo wa kipekee  katika muziki wake na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani