MEXICO YAADHIMISHA MWAKA 1 TANGU WANAFUNZI 43 KUTOWEKA

Maelfu ya watu wakiwa kwenye maandamano kuishinikiza serikali kutoa ukweli kuhusu vifo vya wanafunzi 43. Mwaka mmoja uliopita, wanafunzi 43 walipotea katika mji wa Iguala katika jimbo la Guerrero, kusini mwa Mexican. Maelfu ya watu wanashiriki katika maandamano makubwa katika mji mkuu wa Mexico kuadhimisho mwaka mmoja tangu kutoweka kwa wanafunzi hao. Maandamano yakiendelea. Uchunguzi wa serikali ulidai kuwa, wanafunzi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Sep
Mwaka 1 tangu wanafunzi 43 kutoweka Mexico
10 years ago
MichuziLHRC YAADHIMISHA MIAKA 20 TANGU KUANZISHWA KWAKE SEPTEMBA 26, 1995
11 years ago
Bongo518 Jul
Dunia yaadhimisha Mandela Day ya kwanza tangu kifo chake
11 years ago
CloudsFM18 Jul
Dunia yaadhimisha Mandela Day kwa mara ya kwanza tangu kifo chake....
Watu duniani kote Ijumaa hii wanasherehekea, “Mandela Day” ikiwa ni ya kwanza tangu rais huyo wa kwanza wa Afrika Kusini afariki dunia. Kama angekuwa hai, leo angetimiza umri wa miaka 96.
Kwa miaka mitano sasa mamilioni ya watu duniani wamekuwa wamekuwa wakijitolea dakika 67 za muda wao kila July 18 kuadhimisha miaka 67 ya harakati za kupigania uhuru za Mandela nchini Afrika Kusini. Mandela alifariki December 5 mwaka jana akiwa na miaka 95 kutokana na kuugua kwa muda mrefu.
Shughuli...
11 years ago
MichuziTANZANIA YAADHIMISHA MIAKA 100 TANGU KUANZA KWA VITA KUU YA KWANZA YA DUNIA
Akizungumza kwenye hafla hiyo, iliyofunguliwa na Mhe. Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mhe. John W. Ashe, Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuhudhuriwa na...
11 years ago
BBCSwahili03 Oct
Wanafunzi 40 Mexico wapotea
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Haki itatendeka kwa wanafunzi:43 Mexico
11 years ago
BBCSwahili23 Oct
Kupotea wanafunzi Mexico: Meya atafutwa
10 years ago
BBCSwahili08 Nov
Genge lakiri kuwaua wanafunzi 40 Mexico