TANZANIA YAADHIMISHA MIAKA 100 TANGU KUANZA KWA VITA KUU YA KWANZA YA DUNIA
Katika kuadhimisha miaka 100 ya kuanza kwa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, Tanzania, Ubelgiji, Ugiriki, Iraki, Kenya, Nigeria na Afrika Kusini zimeungana na India katika hafla iliyoendana na uzinduzi wa kitabu cha picha za kumbukumbu za wapiganaji waliofariki kwenye vita hiyo kuanzia mwaka 1914 – 1918.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, iliyofunguliwa na Mhe. Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mhe. John W. Ashe, Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuhudhuriwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM18 Jul
Dunia yaadhimisha Mandela Day kwa mara ya kwanza tangu kifo chake....
Watu duniani kote Ijumaa hii wanasherehekea, “Mandela Day” ikiwa ni ya kwanza tangu rais huyo wa kwanza wa Afrika Kusini afariki dunia. Kama angekuwa hai, leo angetimiza umri wa miaka 96.
Kwa miaka mitano sasa mamilioni ya watu duniani wamekuwa wamekuwa wakijitolea dakika 67 za muda wao kila July 18 kuadhimisha miaka 67 ya harakati za kupigania uhuru za Mandela nchini Afrika Kusini. Mandela alifariki December 5 mwaka jana akiwa na miaka 95 kutokana na kuugua kwa muda mrefu.
Shughuli...
10 years ago
Mwananchi11 May
Dunia yaadhimisha miaka 70 ya kumalizika kwa vita
11 years ago
Bongo518 Jul
Dunia yaadhimisha Mandela Day ya kwanza tangu kifo chake
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Harakati za kuadhimisha Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia zinatufunza nini? -2
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Harakati za kuadhimisha Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia zinatufunza nini? -1
9 years ago
MichuziLHRC YAADHIMISHA MIAKA 20 TANGU KUANZISHWA KWAKE SEPTEMBA 26, 1995
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Ni miaka ishirini tangu waumini 700 kujiteketeza Uganda kwa kuamini ni mwisho wa dunia
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Mjue mtu aliyechochea kuzuka kwa Vita ya Kwanza ya Dunia-2
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Armenia wakumbuka vita kuu ya dunia