Dunia yaadhimisha miaka 70 ya kumalizika kwa vita
>Dunia imeadhimisha miaka 70 ya kumalizika kwa Vita vya Pili ya Dunia baada ya Jeshi la Kinazi la Ujerumani kujisalimisha kwa jeshi la muungano wa Jamhuri za Kisovieti, Mei 8, mwaka 1945.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTANZANIA YAADHIMISHA MIAKA 100 TANGU KUANZA KWA VITA KUU YA KWANZA YA DUNIA
Akizungumza kwenye hafla hiyo, iliyofunguliwa na Mhe. Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mhe. John W. Ashe, Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuhudhuriwa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-s06svizQjQs/VDj567gndxI/AAAAAAAAHeE/xY3Ic-QqVoQ/s72-c/Dicota%2Bconvention%2B2014.jpg)
[AUDIO]: DAKIKA 90 ZA DUNIA. Kumalizika kwa mkutano wa DICOTA 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-s06svizQjQs/VDj567gndxI/AAAAAAAAHeE/xY3Ic-QqVoQ/s1600/Dicota%2Bconvention%2B2014.jpg)
Mwenzangu Mubelwa Bandio, anayo taarifa kamili.
![](http://3.bp.blogspot.com/-q5CHeyAJPgw/VDj564ah6wI/AAAAAAAAHeI/KUEv2z9ah48/s1600/Bandio%2BBahati.png)
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Fastjet yaadhimisha miaka miwili ya huduma nafuu kwa wasafiri wa anga
Kampuni ya ndege ya fastjet, ambayo ni Kampuni yenye gharama nafuu kote Afrika, imeadhimisha miaka miwili ya kutoa usafiri wa anga barani Africa.
Fastjet ilianza biashara ya usafiri wa anga hapa Tanzania tarehe 29 Novemba 2012, ikifanya safari zake kutoka Dar es Salaam kwenda Kilimanjaro na Mwanza kupitia ndege yake aina ya A319.
Tangu wakati huo, Fastjet imepanua wigo wa mtandao wake nchini Tanzania pamoja na kuanzishwa kwa njia yake ya tatu kwenda Mbeya. Kwa sasa safari za Kimataifa za...
11 years ago
CloudsFM18 Jul
Dunia yaadhimisha Mandela Day kwa mara ya kwanza tangu kifo chake....
Watu duniani kote Ijumaa hii wanasherehekea, “Mandela Day” ikiwa ni ya kwanza tangu rais huyo wa kwanza wa Afrika Kusini afariki dunia. Kama angekuwa hai, leo angetimiza umri wa miaka 96.
Kwa miaka mitano sasa mamilioni ya watu duniani wamekuwa wamekuwa wakijitolea dakika 67 za muda wao kila July 18 kuadhimisha miaka 67 ya harakati za kupigania uhuru za Mandela nchini Afrika Kusini. Mandela alifariki December 5 mwaka jana akiwa na miaka 95 kutokana na kuugua kwa muda mrefu.
Shughuli...
9 years ago
MichuziNSSF YAADHIMISHA MIAKA 54 YA UHURU KWA KUFANYA USAFI SHULE YA MSINGI TANDALE
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mGDEGIIKfGk/VWBI3IhC4CI/AAAAAAABgdQ/zRRQ7LqGoDU/s72-c/IMG_0995.jpg)
THE MBONI SHOW YAADHIMISHA MIAKA MITATU KWA KUTOA MSAADA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-mGDEGIIKfGk/VWBI3IhC4CI/AAAAAAABgdQ/zRRQ7LqGoDU/s640/IMG_0995.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Mjue mtu aliyechochea kuzuka kwa Vita ya Kwanza ya Dunia-2
5 years ago
CCM BlogSINGIDA YAADHIMISHA MIAKA 43 YA CCM KWA KISHINDO, YATOA MSIMAMO ENEO LINASTAHILI KUJENGWA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA SINGIDA VIJIJINI
Na Godwin Myovela, Singida
Baada ya mvutano mkubwa ambao umekuwepo baina ya madiwani, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wa Serikali kuhusu...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Dunia yaadhimisha Siku ya Mandela
KATIKA kutambua na kukumbuka mchango wa aliyekuwa Rais wa kwanza mweusi Afrika Kusini, hayati Nelson Mandela, dunia imeadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa mara ya kwanza tangu kifo chake. Katika...