Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tisho la Al-Shabaab kushambulia Ethiopia

Marekani imeonya kuwa wapiganaji wa Kiislamu wa Al shabaab wanapanga kufanya mashambulio katika mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab wadai kushambulia AU

Kundi hilo linasema kuwa limeshambulia msafara wa magari ya kikosi cha Muungano wa Afrika, karibu na mji mkuu Mogadishu na kuwaua wanajeshi 7

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab lakiri kushambulia Kenya

Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab nchini Somalia, limekiri kufanya mashambulizi katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu, Pwani ya Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab yatishia kushambulia Ulaya

Marekani yasema yazingatia vitisho vya Al Shabaab kulenga maduka ya Ulaya

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab wakiri kushambulia Djibouti

Al Shabaab wamekiri kushambulia mgahawa unaotembelewa na wageni nchini Djibouti. Katika shambulio la awali watatu walikufa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab ladai kuwaua askari wa Ethiopia

Kumekua na mapigano makali katikati mwa Somalia baina ya wanajeshi wa taifa hilo ,wanamgambo wa kiislam wa Alshaabab na wanajeshi wa Ethiopia

 

9 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tisho la uhaba wa chakula S:Kusini

Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza ametembelea kijiji kimoja ambapo watu wanakula mbegu na majani

 

10 years ago

BBCSwahili

US:Wapiganaji wa Islamic state ni tisho

Marekani imeonya kuwa kundi la wapiganaji wa Islamic State( IS) ni hatari kwa usalama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani