Tisho la Al-Shabaab kushambulia Ethiopia
Marekani imeonya kuwa wapiganaji wa Kiislamu wa Al shabaab wanapanga kufanya mashambulio katika mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Al Shabaab wadai kushambulia AU
Kundi hilo linasema kuwa limeshambulia msafara wa magari ya kikosi cha Muungano wa Afrika, karibu na mji mkuu Mogadishu na kuwaua wanajeshi 7
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Al Shabaab lakiri kushambulia Kenya
Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab nchini Somalia, limekiri kufanya mashambulizi katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu, Pwani ya Kenya.
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Al Shabaab yatishia kushambulia Ulaya
Marekani yasema yazingatia vitisho vya Al Shabaab kulenga maduka ya Ulaya
11 years ago
BBCSwahili28 May
Al Shabaab wakiri kushambulia Djibouti
Al Shabaab wamekiri kushambulia mgahawa unaotembelewa na wageni nchini Djibouti. Katika shambulio la awali watatu walikufa.
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Al Shabaab ladai kuwaua askari wa Ethiopia
Kumekua na mapigano makali katikati mwa Somalia baina ya wanajeshi wa taifa hilo ,wanamgambo wa kiislam wa Alshaabab na wanajeshi wa Ethiopia
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN9dXUrxxOyM0krY9H4mb1mJ2liUO5u1R9DAEQEkHo-fS1MBrhP2kV7e2y-pGg*zhcrMOy-5rA-n7CODPlmA8Mdq/AlShabaabfighters014.jpg?width=650)
AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UgLUjuQwZfM/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Tisho la uhaba wa chakula S:Kusini
Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza ametembelea kijiji kimoja ambapo watu wanakula mbegu na majani
10 years ago
BBCSwahili22 Aug
US:Wapiganaji wa Islamic state ni tisho
Marekani imeonya kuwa kundi la wapiganaji wa Islamic State( IS) ni hatari kwa usalama
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania