Tisho la uhaba wa chakula S:Kusini
Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza ametembelea kijiji kimoja ambapo watu wanakula mbegu na majani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili19 May
Sudan Kusini inakumbwa na tisho la njaa
Rais wa Sudan kusini Salva Kirr ameonya kuwa taifa lake linakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula kufuatia vita vikali vinavyoendelea nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili28 Feb
Uhaba wa chakula. Sababu? Wewe
Ni kiasi gani cha chakula unachokitupa ambacho pengine ungekila? Benki ya dunia inasema kuwa robo ya chakula kinachokuzwa duniani hutupwa,
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Sudan Kusini kukosa chakula
Mashirika ya misaada yametahadharisha upungufu mkubwa wa chakula Sudan Kusini.
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
ICRC:Raia wanahitaji chakula S Kusini
Kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu ICRC inasema kuwa maelfu ya watu nchini Sudan Kusini wanahitaji pakubwa chakula, maji na huduma za matibabu.
10 years ago
BBCSwahili11 May
UN:Raia hawana msaada wa chakula S Kusini
UN inasema kuwa mamia ya maelfu ya raia hawana msaada wa kuokoa maisha yao kufuatia kuondolewa kwa msaada wa kibinaadamu
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
UN: Watu milioni 4 hawana chakula Sudan Kusini
UN imeonya kuwa makumi ya maelfu ya watu huenda wakafa kwa njaa Sudan Kusini kutokana na mapigano makali yanayozuia usambazaji wa vyakula vya msaada
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya corona: Waziri asimamishwa kazi kwa kushiriki chakula na rafiki yake A.Kusini
Waziri wa habari nchini Afrika Kusini amesimamishwa kazi kwa miezi miwili mwezi mmoja bila mshahara kwa kupata chakula cha mchana na rafiki yake wakati huu ambao kuna amri ya kutotoka nje.
10 years ago
BBCSwahili22 Aug
US:Wapiganaji wa Islamic state ni tisho
Marekani imeonya kuwa kundi la wapiganaji wa Islamic State( IS) ni hatari kwa usalama
11 years ago
BBCSwahili27 May
Mswati akumbwa na Tisho la kufilisika
Taarifa kutoka nchi ya kifalme ya Swaziland zasema kima cha fedha katika benki kuu ya nchi hiyo kimebaki dola laki 8 pekee.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania