Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tisho la uhaba wa chakula S:Kusini

Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza ametembelea kijiji kimoja ambapo watu wanakula mbegu na majani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini inakumbwa na tisho la njaa

Rais wa Sudan kusini Salva Kirr ameonya kuwa taifa lake linakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula kufuatia vita vikali vinavyoendelea nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhaba wa chakula. Sababu? Wewe

Ni kiasi gani cha chakula unachokitupa ambacho pengine ungekila? Benki ya dunia inasema kuwa robo ya chakula kinachokuzwa duniani hutupwa,

 

9 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini kukosa chakula

Mashirika ya misaada yametahadharisha upungufu mkubwa wa chakula Sudan Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

ICRC:Raia wanahitaji chakula S Kusini

Kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu ICRC inasema kuwa maelfu ya watu nchini Sudan Kusini wanahitaji pakubwa chakula, maji na huduma za matibabu.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Raia hawana msaada wa chakula S Kusini

UN inasema kuwa mamia ya maelfu ya raia hawana msaada wa kuokoa maisha yao kufuatia kuondolewa kwa msaada wa kibinaadamu

 

9 years ago

BBCSwahili

UN: Watu milioni 4 hawana chakula Sudan Kusini

UN imeonya kuwa makumi ya maelfu ya watu huenda wakafa kwa njaa Sudan Kusini kutokana na mapigano makali yanayozuia usambazaji wa vyakula vya msaada

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Waziri asimamishwa kazi kwa kushiriki chakula na rafiki yake A.Kusini

Waziri wa habari nchini Afrika Kusini amesimamishwa kazi kwa miezi miwili mwezi mmoja bila mshahara kwa kupata chakula cha mchana na rafiki yake wakati huu ambao kuna amri ya kutotoka nje.

 

10 years ago

BBCSwahili

US:Wapiganaji wa Islamic state ni tisho

Marekani imeonya kuwa kundi la wapiganaji wa Islamic State( IS) ni hatari kwa usalama

 

11 years ago

BBCSwahili

Mswati akumbwa na Tisho la kufilisika

Taarifa kutoka nchi ya kifalme ya Swaziland zasema kima cha fedha katika benki kuu ya nchi hiyo kimebaki dola laki 8 pekee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani