Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Shabaab yatishia kushambulia Ulaya

Marekani yasema yazingatia vitisho vya Al Shabaab kulenga maduka ya Ulaya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab wadai kushambulia AU

Kundi hilo linasema kuwa limeshambulia msafara wa magari ya kikosi cha Muungano wa Afrika, karibu na mji mkuu Mogadishu na kuwaua wanajeshi 7

 

10 years ago

BBCSwahili

Tisho la Al-Shabaab kushambulia Ethiopia

Marekani imeonya kuwa wapiganaji wa Kiislamu wa Al shabaab wanapanga kufanya mashambulio katika mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab wakiri kushambulia Djibouti

Al Shabaab wamekiri kushambulia mgahawa unaotembelewa na wageni nchini Djibouti. Katika shambulio la awali watatu walikufa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab lakiri kushambulia Kenya

Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab nchini Somalia, limekiri kufanya mashambulizi katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu, Pwani ya Kenya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mataifa ‘maskini’ Ulaya yatishia kufunga mipaka

Mataifa ya eneo la Balkan ambayo yamekuwa yakitumiwa na wakimbizi kufikia nchi nyingine za Ulaya wametishia kufunga mipaka iwapo nchi hizo zitakataa kuwapokea wakimbizi zaidi.

 

9 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola yatishia W. Afrika

Mawaziri wa afya 11 kutoka nchi za Afrika magharibi wanakutana Ghana,kutafuta mkakati wa kudhibiti kuenea kwa Ebola

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema yatishia kususia Bunge

Zikiwa zimebaki siku nne kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba mjini Dodoma, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kitasusia bunge hilo, iwapo mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Jaji Warioba hayatazingatiwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN yatishia vikwazo Sudan Kusini

Nchi wanachama wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa wanatafakari kuwawekea vikwazo wapinzani katika mzozo wa Sudan Kusini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani